AirTanzania
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 1,139
- 1,035
Inasemekana na Manaibu Waziri watafuata mkumbo huo wapo saba wanaofuatia, Stay tune wana JF
Kama ni saba ...
... Kinachobaki kwenye baraza la mawaziri wa JKikwete kina maana gani ...doesn't this prove total failure to the whole cabinet? That means Rais naye ni bora AJIPIME!!!
Hapana aisee chalii yangu! Blaki Womani ni Msukuma wakati Black Bat ni Mmwela!
Uozo ni kuanzia prezidaaa, ajiuzulu kwanza huyo
Hahahaha PJ mama mmwela baba msukuma lol unasemaje
afukuze wote labda atuachie
AGGREY MWANRY
MEMBE
TIBAIJUKA
NAHODHA
magufuli
Black Bat na Blaki Womani wanaundugu ?
welcome to the 21st century:
phones-wireless.
cooking-fireless.
cars-keyless.
food-fatless.
youth-jobless.
Leaders-shameless.
Relationships-meaningless.attitude-careless.
Feelings-heartless.
Education-valueless.
Am just speechless.
Everything has become less but still our hopes are endless!! Good 9tless.
dada yangu hujambo..nilikuwa sijui kuwa dada yangu naye yuko hapa JF
wabunge wanaotakiwa kujiuzulu kuwa ni pamoja na waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo, Waziri wa Viwanda na Biashara, Cyril Chami, na Naibu wake, Lazaro Nyalandu, Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi),George Mkuchika, Waziri wa Uchukuzi, Omar Nundu na Waziri wa Afya, Dk. Haji Mponda.