CCM inaongoza..
Ni vituo vichache sana CDM imeshinda mpaka sasa. Na tofauti ni ndogo sana
71 | |||||||||||||
37 | |||||||||||||
41 | |||||||||||||
40 | |||||||||||||
63 | |||||||||||||
80 | |||||||||||||
31 | |||||||||||||
59 | |||||||||||||
79 | |||||||||||||
7 | |||||||||||||
65 | |||||||||||||
47 | |||||||||||||
Jumla 620 CHADEMA
| |||||||||||||
CHADEMA inaongoza katika kata ya serengeti karibia vitou vyote vya serengeti. Nape alijichimbia huko kufanya kampeni
Vipi imekuingia vizuri iyo au nishindilie zaidi?CCM inaongoza..
Ni vituo vichache sana CDM imeshinda mpaka sasa. Na tofauti ni ndogo sana
Kweli manake kila mtu akianzisha tutachanganykiwa. Waunge iwe moja. Tunashukuru kwa taarifa.kuwe na thread moja tu ya matokeo
Data please!
Endelea kutujuza Mkuu, uku Arsenal na Spurs mtanange ndo ushaiva.
Mkuu mimi nakuaminia, nimekupatia jukumu la kukaba hadi penati kama ulivyokuwa BACCA.Mpaka sasa Chadema inaongeza Igunga kwa mujibu wa live broadcast ya ITV.
Msicheze mbali, CCM ni wezi professional wa kura. Kabeni hadi kivuli tuung'oe ufisadi na mizizi yake Igunga.
Kwa utaratibu huu,kuna uwezekano mkubwa sana nikajiunga na CDM.Very inspiring!Kama kweli wananchi hao wataachana na chuki zilizopandwa za kidini nk.Basi ina maana wananchi wameamka.It is very encouraging.Kwa kweli wakishinda nitajiunga na CDM.
Sante. Tutafika tu! Mungu ibariki tz! Mungu ibariki Chadema!BREAKING NEWS LIVE FROM IGUNGA! KATA YA SIMBO-KITUO CHA UMOJA SS -CCM 3, CDM 84, CUF 1. KITUO CHA USHIRIKA CCM 26 CDM 86, KITUO CHA ZIBA CCM 42 CDM 400. HUKO SIMBO WAMESHACHINJA NG'OMBE WATATU MATOKEO MENGINE NTAENDELEA KUWAPASHA! LKN CCM IMESHINDWA VIBAYA!
kwa mujibu wa diwani wa ARUSHA aliyeko Igunga
Nanyaro Ephata
Tumemkamata mgambo akiwa kwenye foleni ya kupiga kura huku akitoa rushwa ya shs 5,000/= kata ya Swingizi, baada ya kumweka chini ya ulinzi, tukamkuta na shs laki saba, kwa sasa anashikiliwa na polisi, anasema alitumwa na viongozi wa CCM
Nchemba anapita kila kituo anamwita msimamizi na kumpa hela, kwa sasa amedhibitiwa na vijana wetu