Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,482
- 14,351
‎'breaking news live from igunga: Mh halima mdee muda mfupi uliopita, amekamata masanduku yenye kura feki huko choma! Pia aliyekuwa diwani wa igunga mama ngessy anashikiliwa na polisi kwa kukutwa nyumbani kwake akiwa na masanduku yenye kura feki! Vigogo wa ccm leo asb wote wametoweka igunga na kurejea dar!
yaani mpaka burudani hii inaitwa kaba mpaka giza hatoki mtu hapo leo..