Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
CCM wamekuwa na utaratibu huu kwa maeneo ambayo CDM wanaonekana kuongoza kwa asilimia kubwa ya kura kwa sasa.

Hakuna haja ya kusherehekea ushindi kwa sasa zaidi ya kuongeza Umakini kwa Timu iliyopo Igunga.

Mitandao ya Kijamii ni nyenzo kubwa kwa sasa kama sisi hapa tutaanza kujidanganya kushabikia na wananchi huko wanafungua simu zao za kihindi na kichina na kuanza sherehe huku CCM wakifanya kazi yao.

Huu ni mkakati kabisa, tangaz kwanza maeneo ambayo CDM wanaongoza ili na wao wakianza kuongoza tunabaki mdomo wazi.

maeneo kadhaa Igunga kwa sasa kuna Kimvua kinanyesha, na tunajua Ugonjwa wa Watanzania na Mvua. Wanaiogopa zaidi ya Kifo...hapo wataiacha mitaa wazi na CCM kufanya kazi yao.

Chondechonde umakini unahitajika zaidi ya kuanza kusherehekea kwa matokeao ya vituo ambavyo bado hata havijatimiza Kata 1.

CDM Igunga tia pamba masikio na hizi kelele za ushindi wa hisia za Mtu na simamieni kura, hatutaki hadithi ya Tarime. Hakuna cha Mzee wala Mwanamke ushindi ni muhimu


ADIOS

Too late wenzako wanalia tu huko
 
una matatizo binafsi au!!!?????
kuna chama kinaitwa Bakwata???
usipende kuleta udini kama huna la kuongea heri unyamaze!
Mkuu, punguza munkari... Anamaanisha bakwata ile iliyopiga KAMPENI ZA SIASA kuwa watu wasikipigie kura chama fulani. Ulitakiwa uwaulize bakwata wenyewe kama wao ni chama cha siasa. Si umesikia hata mkw.re alipohutubia juzi hakukemea kabisa tamko lile la kampeni la 'hicho chama'. Tusisahau kuwa madudu yote yanayofanywa na taasisi zote kwa sasa yanaingia kwenye record
wakati utafika wahusika watalipa.
 
Inashangaza CCM wanashindwa kuheshimu utawala wa sheria wanaodai kuusimamia kila siku..HAKI huinua taifa naomba MUNGU aisimamishe haki hyo
 
Hapa ninmapata uhakika kuwa chadema ni washindi kwani kwa ucheleweshwaji huu wa matokeo inmaonyesha kabisa magamba wanashjinmikiza kitu fulani hapa. hainipi shida saana kujua kuwa matokeo ni kuwa magamba wamelazwa chali tu ila wanachelewesha sherehe kama ilivyokuwa huko arusha ubungo na kawe. chama oyeeee.

magamba wanavyopenda cfa wangeshajitangaza
 
Kwa kweli Makamanda wetu huko wamepigana,walijizatiti na idadi ya kura ambazo chadema imepata inatoa taswira ya imani kubwa waliyonayo watanzania kwa Chadema.Tuvute subira.

Pamoja na mapungufu,rafu za hapa na pale bado timu ya CHADEMA imepambana.Yaliyotokea tangu uchaguzi huu uanze yanazidi kutuimarisha.Hata hivyo kuna haja ya kutumia all-round-intellectulism katika kuangalia njia zifaazo kukabiliana na uharamia wa kidemokrasia unaofanywa na chama tawala kupitia vyombo vinavyowajibika serikalini

However,bado tuna safari ndefu ya kidemokrasia si Tanzania tu na hata Afrika kwa ujumla.Africans are too passionate about everything.
An african can rarely be moderately proud, moderately religious, moderately studious, moderately devious, or moderately political.I
any endevour africans put their interest in they're almost always extermistis about it.

So when elections come africans can't just be 'against' a politician, they have to totally and completely hate him to the point of him becoming a personal enemy and when they're for one they're obsessively passionate about their loyalty to the point of blind ignorance.

So when someone loses and they were obsessed with the person, they don't except it and want to fight someone or burn down something.

Sasa chama Tawala kitambue kuwa rafu zozote au hila zikidhihirika na bado state organs zikashindwa kuchukua hatua basi wajua kwamba wanazidi kupoteza imani kwa watu,watu hawataamini tena katika free and fare election.Huko ni kudumaza demokrasia na itakuja kutugharimu sote siku za usoni

 
Fuateni sheria zenu mlizojitungia wenyewe. Mwenye haki kisheria kutangaza mshindi ni Msimamizi mkuu wa uchaguzi ambeye kwa level ya wilaya ni mkurugenzi wa maendeleo wa wilaya.

Mpeni pumzi atoe matokeo yake.

Kila la kheir
 
Mpaka sasa hivi ni saa tisa kamili bado hawajatoa matokeo? Da kweli Cdm imeshinda huko ila wanafanya uchakachauji kabisa,lakn watashindwa
 
[Kwa taarifa ya ukwel mbunge wa ccm hataki kusaini,chadema ameshnda kwa kula zaid 3500,yakitangazwa tofaut igunga inageka arusha mwanza tena zaidi..../.
NOTE: THESE ARE NOT OFFICIAL RESULT
[/QUOTE]

Sio lazima ashinda yeye wanahamua naini aende mjengoni ni raia, asiyekubalikushindwa sio mshindani anayetakiwa ni mbunge mmojatu sio vinginevyo labda kama tunapeleka wawili watuwakirishe mjengoni ila kwa lipi?.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom