mmmmmmmmmm, nyota inatafutwa...
This work could be easily done by waziri husika wa michezo,
Stori: Sifael Paula
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemuita ikulu mwanamuziki anayefanya vizuri kwa sasa kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul Jumaa Diamond Platnumz na kumpa jukumu maalum, Ijumaa linairusha hewani.
Kwa mujibu wa Diamond, juzikati prezidenti alimwita ikulu Magogoni, Dar es Salaam na kumpa shavu la kwenda kufanya shoo kwenye mkutano maalum utakaofanyika Washington DC nchini Marekani hivi karibuni.
Yaa, rais aliniita akaniambia kuna shoo natakiwa kwenda kufanya Marekani. Kwa mara ya kwanza nitasafiri nje ya nchi na madensa wangu wanne na msemaji mmoja. Sasa hivi hawataki kutembea na kupanda magari wasije wakakosa hiyo safari, alisema Diamond na kuongeza kuwa baada ya kuumwa, mawazo aliyaweka kwenye mchongo huo hivyo mambo mengine yataendelea ikiwa ni pamoja na kufanya kolabo na mwanamuziki wa kimataifa wa Nigeria, J. Martins.[/F atakuwa anataka diamond amuoneshe mganga wake mpya maana nyota ya mkuu imefifia
Acheni Majungu yasio na msingi we angekuwa ni Mdogo wako ama Bro wako ubana hivyo hizo fitna binafsi, Prezidaa JK safi sana kwa kumpa Prezidaa Diamond kusafisha nyota zaidi majuu...Waliopita walichezea bahati kwa kuwaza starehe acha Dogo awakimbizeee...na ww ukiwemo unaemuonea wivu, Mtt anafanya mambo kubwaaaaa...Kama akinaaa...nadhani unawajua Bow Wow na wengine kibaoooo...Huu ndio umri wetu wakupambana Vijana sio kupigana Vijembe, Wazuu siku zote wanaogopa Fainali ya Uzeeni ndio wanambana kila kukichaa sio sisi.kwa hiyo kama anazifeel hiyo gharama yote ya kuwasafirisha atatoa kwenye mshahara wakea au kodi zetu
Acheni Majungu yasio na msingi we angekuwa ni Mdogo wako ama Bro wako ubana hivyo hizo fitna binafsi, Prezidaa JK safi sana kwa kumpa Prezidaa Diamond kusafisha nyota zaidi majuu...Waliopita walichezea bahati kwa kuwaza starehe acha Dogo awakimbizeee...na ww ukiwemo unaemuonea wivu, Mtt anafanya mambo kubwaaaaa...Kama akinaaa...nadhani unawajua Bow Wow na wengine kibaoooo...Huu ndio umri wetu wakupambana Vijana sio kupigana Vijembe, Wazuu siku zote wanaogopa Fainali ya Uzeeni ndio wanambana kila kukichaa sio sisi.
Jamani hivi raisi wetu hana vipau mbele? Kwani waziri asingeweza kumwita na kumpa ujumbe?