Nyimbo za Bongo Fleva kupigwa Airport ni uamuzi wa busara?

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
14,047
20,411
Nyimbo za bongo fleva, kwa asilimia 96% ni matusi, chache ni matusi ya mafumbo lakini mafumbo ya wazi na za mapenzi, zile zenye maadili za kina Afande Sele, na wengine hazipendwi, za matusi zinaimbika na pia zina amsha hisia hivyo hupendwa , ndicho kitu naibu waziri ameona Watanzania wanakitaka kwa sasa badala ya viwanja vua michezo kwa kila shule, apambanie tupate timu za vijana kila Mtaa n a Kata, tupate maeneno ya wazi ambayo CCM imeyateka na kuweka makontena ya kulaza magari na baa za kuuza konyagi za kupima na kitimoto!

Nyimbo za Wanamuziki wa Kitanzania zinatarajiwa kuanza kupigwa kwa asilimia 100 kwenye viwanja vya ndege hapa nchini ili kuendelea kuutangaza muziki wa kitanzania.

Makubaliano hayo yamefikiwa baada ya kikao cha Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma maarufu Mwana FA ambaye amekutana na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege nchini katika kikao kilichofanyika Jijini Dar es salaam.

Katika kikao kazi hicho, Naibu Waziri Mwinjuma ametoa rai kupitia kwa Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo Musa Mbura kufanya hivyo ili kutangaza muziki wa kitanzania kwa wageni wanaoingia na kutoka nchini.Kikao hicho kimehudhuriwa na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Sanaa, Dkt. Emmanuel Ishengoma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa, (BASATA) Dkt. Kedmon Mapana, Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu, Dkt. Kiago Kilonzo na Kaimu Mtendaji Mkuu wa COSOTA, Baraka Katemba.

WADAU wanajiuliza, nyimbo hizi za matusi za Diamond, Zuchu , Harmoniser ndio zitapigwa au itakuwa kwaya na kaswida?

Video za wanawake wa kislamu wakiwa uchi kama steji shoo ndio mnataka kutuwekea Pale DIa, KIA na kwengineko tukiwa tunasubiri check-in tuangalie na wanetu tukiwa tunasubiri ndege za kwenda likizo?
Mauno na mabusu ya kina Diamond na video zao wakila shisha zilizochanganywa na madawa ya kulevya ndio mtuonyeshee watoto wetu?

Huo muziki wewe Mwana FA tukiweka wanao waangalie kwa masaa 2 mfulilizo utakubali?

MWANA FA umetuchoka, kuongoza si shurti, achia wizara uwe back bencher!
 
Ukiona mtt anaelewa kinachoimbwa kwenye hizi nyimbo, ujue keshakua... 😀😀😀
Wale watoto wa Songwe waliokuwa wancheza na kuimba wimbo wa Matusi wa ZUCHU wanaelewa, ?

mtoto wa kike anaimba " ipake mate, muinamishe, ipenyeze, mchape nayo" wanaelewa kuwa ni uume ndio unatakiwa upakwe mate upenyezwe kwenye uke?

Be serious tuokoe vizazi vyetu #
 
Tatizo mmekariri nyimbo n hizo za waruka majoka.

Tz kuna nyimbo tamm sanaa ukiacha izo chache ambazo zina makelele.

Mfano;marashi ya pemba by ndala kasheba,rangi ya chungwa,amigo,afrooo,taarabu za kina njenje ni uamuzi mzuri nyimbo zipo za kutosha ambazo azichoshi masikioni.

Kumbuka hapo lengo n kupromote nyimbo(msanii) na nchi kwa ujumla.

Mgeni anafika anakutana na chambua kama karanga by saida kalori yuko Africa na kama n mara yake ya kwanza atabakiwa na kumbukumbuku ya kusimulia akirudi kwao.
 
Nyimbo za bongo fleva, kwa asilimia 96% ni matusi, chache ni matusi ya mafumbo lakini mafumbo ya wazi na za mapenzi, zile zenye maadili za kina Afande Sele, na wengine hazipendwi, za matusi zinaimbika na pia zina amsha hisia hivyo hupendwa , ndicho kitu naibu waziri ameona Watanzania wanakitaka kwa sasa badala ya viwanja vua michezo kwa kila shule, apambanie tupate timu za vijana kila Mtaa n a Kata, tupate maeneno ya wazi ambayo CCM imeyateka na kuweka makontena ya kulaza magri na baa za kuuza konyagi za kupima!

Nyimbo za Wanamuziki wa Kitanzania zinatarajiwa kuanza kupigwa kwa asilimia 100 kwenye viwanja vya ndege hapa nchini ili kuendelea kuutangaza muziki wa kitanzania.

Makubaliano hayo yamefikiwa baada ya kikao cha Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma maarufu Mwana FA ambaye amekutana na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege nchini katika kikao kilichofanyika Jijini Dar es salaam.

Katika kikao kazi hicho, Naibu Waziri Mwinjuma ametoa rai kupitia kwa Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo Musa Mbura kufanya hivyo ili kutangaza muziki wa kitanzania kwa wageni wanaoingia na kutoka nchini.Kikao hicho kimehudhuriwa na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Sanaa, Dkt. Emmanuel Ishengoma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa, (BASATA) Dkt. Kedmon Mapana, Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu, Dkt. Kiago Kilonzo na Kaimu Mtendaji Mkuu wa COSOTA, Baraka Katemba.

WADAU wanajiuliza, nyimbo hizi za matusi za Diamond, Zuchu , Harmoniser ndio zitapigwa au itakuwa kwaya na kaswida?

Video za wanawake wa kislamu wakiwa uchi kama steji shoo ndio mnataka kutuwekea Pale DIa, KIA na kwengineko tukiwa tunasubiri check-in tuangalie na wanetu tukiwa tunasubiri ndege za kwenda likizo?
Mauno na mabusu ya kina Diamond na video zao wakila shisha zilizochanganywa na madawa ya kulevya ndio mtuonyeshee watoto wetu?

Huo muziki wewe Mwana FA tukiweka wanao waangalie kwa masaa 2 mfulilizo utakubali?

MWANA FA umetuchoka, kuongoza si shurti, achia wizara uwe back bencher!
Mkuu mambo mengine yatakupagawisha tu kwanza wageni hawajui kiswahili kuhusu video za uchi sa hv ni worldwide maswala ya kuwa ni wanawake wa kiislamu wakiwa uchi hapa si mahala pake unajua kwa kwenda kulalamikia jiheshimu tafadhali sio Kaduna hapa
 
Tatizo mmekariri nyimbo n hizo za waruka majoka.

Tz kuna nyimbo tamm sanaa ukiacha izo chache ambazo zina makelele.

Mfano;marashi ya pemba by ndala kasheba,rangi ya chungwa,amigo,afrooo,taarabu za kina njenje ni uamuzi mzuri nyimbo zipo za kutosha ambazo azichoshi masikioni.

Kumbuka hapo lengo n kupromote nyimbo(msanii) na nchi kwa ujumla.

Mgeni anafika anakutana na chambua kama karanga by saida kalori yuko Africa na kama n mara yake ya kwanza atabakiwa na kumbukumbuku ya kusimulia akirudi kwao.
Mkuu watu wanakariri upuuzi tu lakini kiukweli Kuna nyimbo nyingi sana
 
Makubaliano hayo yamefikiwa baada ya kikao cha #Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma maarufu Mwana FA# ambaye amekutana na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege nchini katika kikao kilichofanyika Jijini Dar es salaam.
 
Back
Top Bottom