Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,160
- Thread starter
- #41
Ha ha ha ha, watu wanasema ntakuua ukiwaambia kuondoka.
Umenichekesha sana
hahahahahahahaha
Ha ha ha ha, watu wanasema ntakuua ukiwaambia kuondoka.
Umenichekesha sana
wiki nzima nilikuwa nashinda kariakoo natafuta nguo, hata mwezi haujaisha wataka vunja ndoa, ujue kuna mashosti wanasubiri yakushinde waingie? rudisha moyo, mpe miezi sita tu huyo ananyooka.
Kitapona tu mkuu hata kama kitakuwa kidonda cha roho. Nalog offbora kidonda cha mkono kuliko cha moyo.
aiseee nimepita.....nitarudi baadae