Baba Kaila10
Member
- Aug 31, 2023
- 6
- 13
Habari wadau hope mko salama,
Nina kidonda kichwani nilikipata kwenye barbershop nimejaribu kutumia dawa haviishi kinakauka leo kesho tena maji maji naweza Pata msaada wowote.
Ahsante sana
Nina kidonda kichwani nilikipata kwenye barbershop nimejaribu kutumia dawa haviishi kinakauka leo kesho tena maji maji naweza Pata msaada wowote.
Ahsante sana