Ukifika kileleni mishipa ya damu yote inafunguka. Damu unaweza ikatokea kwenye fizi ama kwenye kidonda.

JF Member

JF-Expert Member
Dec 14, 2014
7,393
9,675
Utafiti unaonesha, mtu akifika kileleni, mwili wake unapatwa na Msukumo mkubwa wa damu hivyo sehemu zenye michubuko zinaweza kutoa damu.

Mfano.. kama unapiga maswaki na kutokwa na damu kwenye fizi, hivyo hivyo Ukifika ama kufikishwa kileleni lazima utokwe na damu kwenye fizi. Na kidonda hasa kibichi lazima kitoe damu.

Tahadhari kwa wale watu wa kissing na romance.

Mtu akikaribia kileleni mtoe kwenye mdomo wako. Utakunywa damu.
 
Utafiti unaonesha, mtu akifika kileleni, mwili wake unapatwa na Msukumo mkubwa wa damu hivyo sehemu zenye michubuko zinaweza kutoa damu.

Mfano.. kama unapiga maswaki na kutokwa na damu kwenye fizi, hivyo hivyo Ukifika ama kufikishwa kileleni lazima utokwe na damu kwenye fizi. Na kidonda hasa kibichi lazima kitoe damu.

Tahadhari kwa wale watu wa kissing na romance.

Mtu akikaribia kileleni mtoe kwenye mdomo wako. Utakunywa damu.
Pata ushauri wa daktari
 
I mean no Malice to nobody
FB_IMG_17099764192451904.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom