Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,158
Marafiki nimeamini ule msemo usemao mapenzi kidonda ukishiri unakonda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe umepata stress kwa mtu wako,sasa yanini kunifananisha na kunitukana PM
kumbe umepata stress kwa mtu wako,sasa yanini kunifananisha na kunitukana PM
Kweli bila KIDONDA hakuna mapenzi.
Kila mtu anataka kidonda ambacho hakiponi.
Mara hii excellent keshaanza kuwa failure! Ngoja husn atoke kilabuni akuelekeze kwa mganga wake wa bagamoyo. Andaa 2M tu
hehehe akhu simtaki tena hata bure ataniua kwa presha tu mie
Yaani kujilipuia kote kule u give up so easily! No way. Utaturudishia makofi na vigelegele tulivyokupigia ulipofunguka! Kha!
dah! Lakini kidonda si kinapona? Nalog off
Mara hii excellent keshaanza kuwa failure! Ngoja husn atoke kilabuni akuelekeze kwa mganga wake wa bagamoyo. Andaa 2M tu
Yaani kujilipuia kote kule u give up so easily! No way. Utaturudishia makofi na vigelegele tulivyokupigia ulipofunguka! Kha!
Aje nimwelekeze jinsi ya kulea, wala hana haja ya mganga.
kupendwa rahaaa, hasa mtu mwenyewe anapokuwa anakulilia.
Haiwezekani arudi mara hii, nilivyokuwa na shughulika mara mapambo mara ukumbi?! Hakuna kurudi kirahisi ivi.
Haiwezekani arudi mara hii, nilivyokuwa na shughulika mara mapambo mara ukumbi?! Hakuna kurudi kirahisi ivi.