Kaka mbona kama unampinga mdogo wako kwenye hili .mdogo wako mwana sanaPunguza mirungi,punguza sigara,punguza sukari,punguza pombe,punguza nyama,punguza madawa ya kulevya ,punguza kuongea ccm ikujali.
Nenda hospitali na hakikisha nayo kwambia unayafanya sababu meno hakuna sehemu yana maandiko kama kataa uzizi
Kaka mbona kama unampinga mdogo wako kwenye hili .mdogo wako mwana sana
Yes, hili ndo jibu.Kamcheki mganga wa meno kwa ushauri wa kitaalam
Ujinga punguza ndo maana huna demu
Wingi wa damu mkuu.Hb ndo nn wenzenu hatujasoma japo kiingereza najua