Maoni Yako: Laptop gani bora kuliko nyingine?

Sikushauri Hp au Compaq ni delicate sana hiz dude nimekoma kuzitumia hata ukienda kwa mafundi ndo zimejaa

Acer,Dell,Toshiba zinagangamala

Apple ....

list
1.Apple(mac book pro or macbook Air)
2.Hp g60 au Dv6
3.Asus EE.
zilizobaki ushenzi mtupu!
make sure zina support from Intel or Apple, coz wanaproduce vifaa vya uhakika

Mkuu Laptop nzuri kwa sasa ni ASUS from USA,i5,ina CD ROM,HDD 640,RAM 600 BADALA YA 500,Inshort ni Laptop moja nzuri sana,wakati nahitaji nilishauriwa na mtu mmoja ambaye ni mtaalamu wa haya mambo na nimeinunua nzuri sana.

Kuna moja inaitwa dell XPS nayo ni noma sana iko poa sana. Ila katika matumizi yangu ya computer za dell hasa inspiron nimegundua zina tatizo ya kuharibika DVD rom. Compaq Fan pia


niwakosoe kwanza kabla sijatoa mawazo yangu. hamna aina ya brand ya laptops iko poa kuliko nyingine. sababu: casing tu ndo zinatofautiana, ndani mambo ni yale yale. iwe ni HP, iwe apple, iwe DELL, iwe Acer, hamna mtengenezaji wa RAM, motherboard, processor, screen au hata harddisk hapo. wanachofanya wao ni kazi ya kuunganisha products na kufunga casing. hata hizo usb ports, hdmi au video cards hawatengenezi.
ila sasa, kuna utofauti wa laptops, na hii inategemeana na ilitengenezwa ya kivipi.
i) ultrabooks (hizi ndo the best and most expensive, mfano ni macbook pro na HP envy series),
ii) desktop replacement laptops (hizi ni laptop kubwa screen and weight, third most expensive na zina ma expansion slot balaa mfano mzuri ni DELL alienware na HP DV Series),
iii) business laptops (za kawaida ila bei expensive kidogo, mfano kama ya kwangu HP DM4),
iv) student laptops (poor processors, ni za kusurf na kuandika notes, bei poa kabisa),
v) gaming laptops (alienware inakuja hapa tena, hizi laptops pia ni very very expensive, zina vga na processors za hatari, za wapenzi wa game) na finally, the most common brand,
vi) budget laptops (budget laptops ni za mtu ambaye hana hela refu wala mpango mkubwa na laptop. they are cheap, made of plastic and die easily)

kama laptop yako haina resolution kali, ni ya plastic na haina vga card, ni budget laptop, huwezi mlaumu manufacturer ni kuitengeneza vibaya, alibana ili iuzwe che. kingine, na hii inawahusu akina Kimox Kimokole na NingaR, siwezi jua urefu wa mifuko yenu, ila sioni sababu ya kununua laptop iliyozidi $600. laptops ni nzuri lakini kama unataka kufanyia kazi computer, desktops are the way to go. nikianza kutofautisha ubora wa laptops na desktops hapa, nitakesha, ila ninachojua mie ni kuwa usiwe na laptop iliyozidi desktop yako bei.
mawazo yangu tu leh
14xm5ar.gif
 
Last edited by a moderator:
niwakosoe kwanza kabla sijatoa mawazo yangu. hamna aina ya brand ya laptops iko poa kuliko nyingine. sababu: casing tu ndo zinatofautiana, ndani mambo ni yale yale. iwe ni HP, iwe apple, iwe DELL, iwe Acer, hamna mtengenezaji wa RAM, motherboard, processor, screen au hata harddisk hapo. wanachofanya wao ni kazi ya kuunganisha products na kufunga casing. hata hizo usb ports, hdmi au video cards hawatengenezi.
ila sasa, kuna utofauti wa laptops, na hii inategemeana na ilitengenezwa ya kivipi.
i) ultrabooks (hizi ndo the best and most expensive, mfano ni macbook pro na HP envy series),
ii) desktop replacement laptops (hizi ni laptop kubwa screen and weight, third most expensive na zina ma expansion slot balaa mfano mzuri ni DELL alienware na HP DV Series),
iii) business laptops (za kawaida ila bei expensive kidogo, mfano kama ya kwangu HP DM4),
iv) student laptops (poor processors, ni za kusurf na kuandika notes, bei poa kabisa),
v) gaming laptops (alienware inakuja hapa tena, hizi laptops pia ni very very expensive, zina vga na processors za hatari, za wapenzi wa game) na finally, the most common brand,
vi) budget laptops (budget laptops ni za mtu ambaye hana hela refu wala mpango mkubwa na laptop. they are cheap, made of plastic and die easily)

kama laptop yako haina resolution kali, ni ya plastic na haina vga card, ni budget laptop, huwezi mlaumu manufacturer ni kuitengeneza vibaya, alibana ili iuzwe che. kingine, na hii inawahusu akina Kimox Kimokole na NingaR, siwezi jua urefu wa mifuko yenu, ila sioni sababu ya kununua laptop iliyozidi $600. laptops ni nzuri lakini kama unataka kufanyia kazi computer, desktops are the way to go. nikianza kutofautisha ubora wa laptops na desktops hapa, nitakesha, ila ninachojua mie ni kuwa usiwe na laptop iliyozidi desktop yako bei.
mawazo yangu tu leh
14xm5ar.gif

nime kuPM kitu flan Mkuu
 
Last edited by a moderator:
niwakosoe kwanza kabla sijatoa mawazo yangu. hamna aina ya brand ya laptops iko poa kuliko nyingine. sababu: casing tu ndo zinatofautiana, ndani mambo ni yale yale. iwe ni HP, iwe apple, iwe DELL, iwe Acer, hamna mtengenezaji wa RAM, motherboard, processor, screen au hata harddisk hapo. wanachofanya wao ni kazi ya kuunganisha products na kufunga casing. hata hizo usb ports, hdmi au video cards hawatengenezi.
ila sasa, kuna utofauti wa laptops, na hii inategemeana na ilitengenezwa ya kivipi.
i) ultrabooks (hizi ndo the best and most expensive, mfano ni macbook pro na HP envy series),
ii) desktop replacement laptops (hizi ni laptop kubwa screen and weight, third most expensive na zina ma expansion slot balaa mfano mzuri ni DELL alienware na HP DV Series),
iii) business laptops (za kawaida ila bei expensive kidogo, mfano kama ya kwangu HP DM4),
iv) student laptops (poor processors, ni za kusurf na kuandika notes, bei poa kabisa),
v) gaming laptops (alienware inakuja hapa tena, hizi laptops pia ni very very expensive, zina vga na processors za hatari, za wapenzi wa game) na finally, the most common brand,
vi) budget laptops (budget laptops ni za mtu ambaye hana hela refu wala mpango mkubwa na laptop. they are cheap, made of plastic and die easily)

kama laptop yako haina resolution kali, ni ya plastic na haina vga card, ni budget laptop, huwezi mlaumu manufacturer ni kuitengeneza vibaya, alibana ili iuzwe che. kingine, na hii inawahusu akina Kimox Kimokole na NingaR, siwezi jua urefu wa mifuko yenu, ila sioni sababu ya kununua laptop iliyozidi $600. laptops ni nzuri lakini kama unataka kufanyia kazi computer, desktops are the way to go. nikianza kutofautisha ubora wa laptops na desktops hapa, nitakesha, ila ninachojua mie ni kuwa usiwe na laptop iliyozidi desktop yako bei.
mawazo yangu tu leh
14xm5ar.gif
Ndani mambo si yaleyale ...inategemea na patents ambazo manufacturer amekubaliana nazo kwa mfano ingawa processors zina kazi ileile lakini inategemea hiyo kampuni imeacquire patent ya processor ipi.
Vile vile kwa mfano HP huwa wana batterries ovyo kwa sababu ya aina ya batteries zao zipo tofautui na lets say SONY.
Brand ya electronic product yeyote does matter a lot!
 
Ndani mambo si yaleyale ...inategemea na patents ambazo manufacturer amekubaliana nazo kwa mfano ingawa processors zina kazi ileile lakini inategemea hiyo kampuni imeacquire patent ya processor ipi.
Vile vile kwa mfano HP huwa wana batterries ovyo kwa sababu ya aina ya batteries zao zipo tofautui na lets say SONY.
Brand ya electronic product yeyote does matter a lot!

brand ya electonic products matter,s alot, lakini kwa laptops, difference ni negligible. mkuu, kwenye computers, intel na AMD wanauza processors zao kwa wote bila ubaguzi, hamna ambaye anakuwa ana sole processor akaweka kwa mashine zake na ndo maana apple wamekuwa siku zote hawataki kuingia kwa processor za intel coz intel waliwanyima apple-only processors. na battery za HP sio ovyo, ndo maana nikasema kuna different brands of computers not manufacturers, battery ovyo za HP ni kwa budget laptops. my HP DM4 inapiga lisaa na nusu kwa movie ya dvd, mawili kwa wifi , ya mzee wangu ni Envy 17 inapiga masaa manne kwa wireless na matatu na nusu dvd movie. ukiangalia bei zake, yangu nimechukua kwa dolla 800 ya kwake 1,500 almost double ya kwangu. budget laptops hauwezi expect wakaweka great batteries wakati wanabana expenses za manufacture.
nikupe mfano mzuri..
HP wanataka kutengeneza budget laptop, so bei lazima iwe chini ya $600
wakanunua bidhaa kama hivi
Intel® Core™ i3-2330M Processor bei.. $90
Hdd ya Samsung 320GB bei.. $40
4GB Corsair Memory RAM bei.. $25
Arc Intel i3 motherboard bei.. $45
fan, psu na vifurushi vingine bei.. $30
15.6'' screen bei.. $20

kununua tu parts bila assembly ni kama $250, unategemea watataweka casing ya shilingi ngapi na battery ya ubora gani?
 
brand ya electonic products matter,s alot, lakini kwa laptops, difference ni negligible. mkuu, kwenye computers, intel na AMD wanauza processors zao kwa wote bila ubaguzi, hamna ambaye anakuwa ana sole processor akaweka kwa mashine zake na ndo maana apple wamekuwa siku zote hawataki kuingia kwa processor za intel coz intel waliwanyima apple-only processors. na battery za HP sio ovyo, ndo maana nikasema kuna different brands of computers not manufacturers, battery ovyo za HP ni kwa budget laptops. my HP DM4 inapiga lisaa na nusu kwa movie ya dvd, mawili kwa wifi , ya mzee wangu ni Envy 17 inapiga masaa manne kwa wireless na matatu na nusu dvd movie. ukiangalia bei zake, yangu nimechukua kwa dolla 800 ya kwake 1,500 almost double ya kwangu. budget laptops hauwezi expect wakaweka great batteries wakati wanabana expenses za manufacture.
nikupe mfano mzuri..
HP wanataka kutengeneza budget laptop, so bei lazima iwe chini ya $600
wakanunua bidhaa kama hivi
Intel® Core™ i3-2330M Processor bei.. $90
Hdd ya Samsung 320GB bei.. $40
4GB Corsair Memory RAM bei.. $25
Arc Intel i3 motherboard bei.. $45
fan, psu na vifurushi vingine bei.. $30
15.6'' screen bei.. $20

kununua tu parts bila assembly ni kama $250, unategemea watataweka casing ya shilingi ngapi na battery ya ubora gani?

Mkuu leh vip kuhusu HP PAVILLION DV6??
 
Last edited by a moderator:
Mkuu vena ninakusahihisha hapa kidogo tu kuhusu hiyo Lapop ya .Hp g60 au Dv6 ni ya upuuzi pia lakini hizo mbili yaani 1.Apple(mac book pro or macbook Air) na hiyo 3 Asus EE. ndizo Laptop kiboko kweli zilizo baki ni Upuuzi mtupu na ushenzi mtupu Pumba hazifai hata kidogo.

it's okay... ila kutokana na experience mkuu hiyo list ya uhakika mayb uliipata fake, jaribu Dv6 utakubali kazi
A%20S%20angel.gif
 
it's okay... ila kutokana na experience mkuu hiyo list ya uhakika mayb uliipata fake, jaribu Dv6 utakubali kazi
A%20S%20angel.gif
Mkuu vena Laptop ya HP ya aina yoyote ile haina mpango uchaguzi wako

mwenyewe tu Laptop nzuri ni za aina 4 katika dunia hii nazo ni Ya kwanza ni (1)Mac book Pro or Macbook Air

(2)ASUS na ya (3)Toshiba na ya mwisho ni (4) Sony Viao Laptop zilizobakia ni Uoza mtupu kaka ukubali ukatae

shauri yako mimi ninmezifuatilia karibu huu ni mwaka wa 10 mpaka ninakwenda kwa mafundi utazikuta Laptop

kibao ni mbovu zenye majina ya Acer,HP,Dell,lenova,Packwall na nyinginezo nyingi mbovu hazina mpango mkuu niamini.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu MziziMkavu , me nadhani laptops nyingi unazodai ni mbovu na hazifai, kama hp, dell na nyinginezo ni kwa sababu ya kua zipo nyingi na zina watumiaji wengi kupita izo nyingine ie mac book. Watumiaji wa laptops kama hp wanapokua wengi na laptops kua nyingi kwenye matumizi vilevile probability ya kuzikuta kwa fundi inakua kubwa (simple logic). vle vle wasio na uelewa na matumizi sahihi wanachangia kuziharibu wenyewe. Nmetumia hp miaka kadhaa mpaka nimeiuza haijawahi npa tatizo lolote, now i gat another hp PAV DV6 iko poa balaa..! Mtazamo wangu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu MziziMkavu mimi nataka apple ya ukweli Hebu nimwagie specs na bei zake
Mkuu Precise pangolin

thumbnail.php

MD103LL / A New Apple Macbook Pro Notebook Bei yake ni Dollar 2800 Mpya hizo zote.


» PROCESSOR :Intel Core i7-3610QM 2.3GHz. (03.03 GHz Turbo Boost Technology.) 6 MB Cache Memory Processor

» RAM :4 GB DDR3 1600 Mhz. (Max.8 GB) RAM

» HARD DISK :500 GB SATA (5400 rpm) HDD

» Graphics Card :NVIDIA GeForce GT 650M + Intel HD4000 512 MB DDR5

» OPERATING SYSTEM :Mac OS X v10.7 Lion

» 4 GB DDR3 1600 Mhz. (Max. 8 GB) Ram

» Thunderbolt x 1, USB 3.0 x 2; 720p FaceTime HD Camera

» New Mac OS X 10.7 Lion - GB Language Support

»Detailed Technical Specifications

PRODUCT FEATURES

PROCESSOR Intel Core i7-3610QM 2.3GHz. (03.03 GHz Turbo Boost Technology.) 6 MB Cache Memory Processor

PROCESSOR TYPE Intel Core i7

RAM 4 GB DDR3 1600 Mhz. (Max.8 GB) RAM

HARD DISK 500 GB SATA (5400 rpm) HDD

OPTICAL DRIVE DVD-RW Double Layer

OPERATING SYSTEM Mac OS X v10.7 Lion

Graphics Card NVIDIA GeForce GT 650M + Intel HD4000 512 MB DDR5

SCREEN SIZE 15.4'' LED-backlit Glossy widescreen display (1440 x 900)

DISPLAY RESOLUTION 1440 x 900

AUDIO OUTPUT Stereo

BATTERY

BATTERY TIME 7 hours (depending on usage conditions, the maximum period of time)

WEBCAM

WEBCAM There is

NETWORK

ETHERNET RJ45 10/100/1000

WIRELESS LAN 802.11 a / b / g / n

RJ11-MODEM No

BLUETOOTH Bluetooth 4.0

DIMENSIONS AND WEIGHT

DEPTH 249 mm

HEIGHT 24 mm

WIDTH 364 mm

WEIGHT 2.5 Kg

INTERFACES

DC-IN 1

USB (3.0) 2

E-SATA No

HDMI No

VGA No

IEEE 1394 1

CARD READER 1

EXPRESS CARD SLOT SDXC card slot

The MIC 1

HEADPHONE OUTPUT 1

MINI DISPLAY PORT There is

WARRANTY

WARRANTY PERIOD 2 Years.



MD101TU / A New Apple Macbook Pro Notebook Na hii Bei yake ni Dollar 2000, Mpya hii.

thumbnail.php


» PROCESSOR :Intel Core i5-2450 2.5 GHz. (Turbo Boost Technology 3.1 GHz.) 3 MB Cache Memory Processor

» RAM :4 GB DDR3 1600 Mhz. (Max.8 GB) RAM

» HARD DISK :500 GB SATA (5400 rpm) HDD

» Graphics Card :Intel HD Graphics 4000 integrated graphics processor

» OPERATING SYSTEM :Mac OS X v10.7 Lion

» 4 GB DDR3 1600 Mhz. (Max. 8 GB) Ram

» Thunderbolt x 1, USB 3.0 x 2; 720p FaceTime HD Camera

» New Mac OS X 10.7 Lion - GB Language Support

»Detailed Technical Specifications

PRODUCT FEATURES

PROCESSOR Intel Core i5-2450 2.5 GHz. (Turbo Boost Technology 3.1 GHz.) 3 MB Cache Memory Processor


PROCESSOR TYPE Intel Core i5

RAM 4 GB DDR3 1600 Mhz. (Max.8 GB) RAM

HARD DISK 500 GB SATA (5400 rpm) HDD

OPTICAL DRIVE DVD-RW Double Layer

OPERATING SYSTEM Mac OS X v10.7 Lion

Graphics Card Intel HD Graphics 4000 integrated graphics processor

SCREEN SIZE LED-backlit glossy widescreen 13.3'' display with edge-to-edge, uninterrupted glass (1280 x 800)

DISPLAY RESOLUTION 1280 x 800

AUDIO OUTPUT Stereo

BATTERY

BATTERY TIME 7 hours (depending on usage conditions, the maximum period of time)

WEBCAM

WEBCAM There is

NETWORK

ETHERNET RJ45 10/100/1000

WIRELESS LAN 802.11 a / b / g / n

RJ11-MODEM No

BLUETOOTH Bluetooth 4.0

DIMENSIONS AND WEIGHT

DEPTH 227 mm

HEIGHT 24 mm

WIDTH 325 mm

WEIGHT 2.0 Kg

INTERFACES

DC-IN 1

USB (3.0) 2

E-SATA No

HDMI No

VGA No

IEEE 1394 1

CARD READER 1

The MIC 1

HEADPHONE OUTPUT 1

FINGERPRINT No

MINI DISPLAY PORT There is

WARRANTY

WARRANTY PERIOD 2 Years.
 

Attachments

  • MD103LL  kubwa A New Apple Macbook Pro Notebook.jpg
    MD103LL kubwa A New Apple Macbook Pro Notebook.jpg
    3.5 KB · Views: 282
Last edited by a moderator:
Jamani! Mwuulizeni kwanza basi anaihitaji kwa ajili ya nini? why such expensive and sophisticated laps na wakati anaweza kuwa anaihitaji kwa ajilia ya matumizi mepesi ambayo yanaweza kufanywa hata pentium series?
 
Jamani! Mwuulizeni kwanza basi anaihitaji kwa ajili ya nini? why such expensive and sophisticated laps na wakati anaweza kuwa anaihitaji kwa ajilia ya matumizi mepesi ambayo yanaweza kufanywa hata pentium series?
Mkuu classics ukiwa na hii (Apple Macbook Pro) sahau mambo ya Virus au Computer kuji Restart yenyewe matatizo yako kwisha unatumia hata miaka 10 pasipo na kuwa na wasiwasi Mkuu hii kitu ni kiboko ya Laptop zote duniani. Hakuna mchina hapo kila kitu mwenyewe Apple Macbook Pro.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu MziziMkavu mambo ya virusi hayanihusu kabisa maana mie natumia Ubuntu Linux os with hardened security. Nyie mnamshauri anununue lap yenye hadi 8/16gb RAM na specs zingine za juu wakati matumizi makuu yanaweza kuwa ni kubrowse internet, kuandika kwenye word/excel na kuchat fb. Poa mkuu
 
Back
Top Bottom