QUALIFIED
JF-Expert Member
- Jun 13, 2012
- 773
- 112
Asus ya Tsh.2,620,000/=?? All the best myn Ntakuja kuishangaa
nitoe wap iyo ela najichanga ile ya 1200 kama itafika life tight nouma
Asus ya Tsh.2,620,000/=?? All the best myn Ntakuja kuishangaa
Mkuu MziziMkavu mimi nataka apple ya ukweli Hebu nimwagie specs na bei zakeMkuu.NingaR kwa model uliyokuwa unataka ya ( Intel i5 na 15.6" display) hiyo ndio bei Rahisi huku nilipo zilizobakia zote zina anzia Dollar 1300 na kuendelea juu. La kama unataka za kizamani Model ya ASUS
Intel Pentium Processor unaweza kupata kwa Dolla 100 au chini yake hapo lakini hazina mpango wakati Watu wanakwenda juu wewe unakwenda chini kwa sababu gani? ASUS Intel Pentium Processor zimesha pitwa na wakati
Mkuu ukiwa teyari nitumie Barua ya Pepe nitaweza kukusaidia kwa kila hali nitakutumia kwa njia ya kago na itakufikia kwa haraka iwezekanavyo Laptop yako Email yangu ni hii hapa fewgoodman@hotmail.com
Mkuu ilonga, uko serious?!..as in is it a real deal mkuu?
nitoe wap iyo ela najichanga ile ya 1200 kama itafika life tight nouma
Mkuu NingaR Asus kitu hicho ............. Asus N56VM-RB71 Laptop, Intel Core i7-3610QM 2.3 GHz, 8GB Ram, 15.6 FHD Screen, NVIDIA GT 630M 2GB graphics, 750GB HDD, DVD Burner, Windows 7 Home Premium
Product Features
3rd generation Intel Core i7-3610QM Quad Processor 2.3GHz, Color: Black Aluminum
8GB Shared Dual Channel DDR3 Memory, 750GB 7200 RPM Hard Drives
NVIDIA GeForce GT 630M 2GB graphics, DVD/CD Burner (Reads and Writes to DVD/CD)
15.6in HD LED Screen (1366x768), 6-cell Lithium Ion Primary Battery, Backlit Chiclet Keyboard with number key pad
Genuine Windows 7 Home Premium 64bit, 802.11 b/g/n, Bluetooth 4.0 , Integrated 10/100/1000 Network Card
Product Information
Screen Size 15.6 inches
Processor Intel Core i7
RAM 8 GB
Hard Drive 750 GB
Graphics Card Ram Size 2000 MB
Expand
Other Technical Details
Brand Name Dell
Item model number N56VM-RB71
Hardware Platform PC
Processor Brand Intel
Computer Memory Type DDR3 SDRAM
Hard Drive Interface Serial ATA
Bei yake ni Dola1700 ukihitaji wasiliana na mimi kwa njia ya Email yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com
hii ndo xps laptop ya dell, ina features za ukweli balaaa. Sema mimi si mpenzi wa dell
tunataka na bei sio jina na picha tu.
halafu ni Dell XPS ipi maana ziko zaidi ya moja
Haya ni hii
XPS 14
ina Intel Core
i7-35178u processor, a 5400-rpm, ram 4GB upgraded upto 8GB, 2.4GHz, 500GB hard
drive with startup assistance from a 32GB
mSATA solid-state caching drive, Intels HD Graphics 3000, and the 64-
bit version of Windows 7 Home Premium, goes for a somewhat pricey $1500.
Pesa yake hiyo imekwenda na gharama ya usafirishaji toka nilipo kuja huko kwako ndio maana ikawa bei hiyo bei yake hiyo Laptop ni Dola1500 na hiyo dola 200 ni bei ya usafirishaji wa kago si unajuwa itakuja kwa njia ya ndege?na ukiinunuwa ina Warranty yake ya miaka 2 ikiharşbika kabla ya muda wake kuisha unairudisha na wanakutengenezea bure pasipo na malipo mkuu ndetichia kizuri kinajiuza kibaya kinajitembeza.mziziiiiiiiiiiii na few good man ila hizo features zake zimenikosha balaa ila salio ndio hatariiii 1700 sio mchezo....
Hakuna wasiwasi kaka hicho kitu babu kubwa Kimox KimokolePoa kaka ngoja nijipange niivute hiyo kitu
Mkuu NingaR usiabaike na show angalia Model ya Laptop hiyo haina mpango XPS14 kiboko ya Laptop zote ni ASU Au Macbook Pro.Kweli vizuri gharama!
Nimesha kujibu umeiona Email yangu? NingaRnime ku-email mkuu
Kama ni mjanja laptop mzigo au sio chukua iPad 3 ina wi-fi na 3G.