Laptop bei nafuu
Member
- Feb 7, 2012
- 72
- 67
Watu wengi wamekuwa wakinunua laptop bila kujua wanaenda kutumia kwenye matumizi gani au mwingine ananunua laptop yenye uwezo mkubwa sana kuliko matumizi yake. Sio mbaya kufanya hivyo bali itakufanya uingie gharama kubwa ya ununuzi wake.
Pia kuna wengine wananunua laptop yenye uwezo mdogo ukilinganisha na matumizi yake hivyo kupelekea kazi yake kuwa slow na ufanisi wa kazi kuchelewa au kuwa mbaya kabisa.
Laptop ni kama bidhaa nyingine lakini katika ununuaji wake unahitaji uelewa wa hali ya juu sababu kuna changamoto watumiaji hukutana nazo na kwa kuwa hawajui chochote basi huona kama wamepigwa au kuuziwa mbuzi kwenye gunia.
NJOO TUPEANE USHAURI NI LAPTOP IPI ITAKUFAA KWENYE MATUMIZI YAKO NA VIGEZO GANI UVIZINGATIE UNAPONUNUA LAPTOP.
Unaweza kupiga simu 0787391033 au kunichek WhatsApp 0652565597
#TWENDE SOTE
#TEKNOLOJIANIYAKWETUSOTE
#2024
Pia kuna wengine wananunua laptop yenye uwezo mdogo ukilinganisha na matumizi yake hivyo kupelekea kazi yake kuwa slow na ufanisi wa kazi kuchelewa au kuwa mbaya kabisa.
Laptop ni kama bidhaa nyingine lakini katika ununuaji wake unahitaji uelewa wa hali ya juu sababu kuna changamoto watumiaji hukutana nazo na kwa kuwa hawajui chochote basi huona kama wamepigwa au kuuziwa mbuzi kwenye gunia.
NJOO TUPEANE USHAURI NI LAPTOP IPI ITAKUFAA KWENYE MATUMIZI YAKO NA VIGEZO GANI UVIZINGATIE UNAPONUNUA LAPTOP.
Unaweza kupiga simu 0787391033 au kunichek WhatsApp 0652565597
#TWENDE SOTE
#TEKNOLOJIANIYAKWETUSOTE
#2024