kaburunye
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 672
- 74
Nani amekuambia ndoa imeanzishwa na Mungu?Vp kama siamini uwepo wa Mungu?Huwezi kuona unazidisha mkanganyiko unapoihusisha dhana hii?
Hata kama wewe huamini uwepo wa Mungu haibadilishi kitu. Kuamini kwako kuwa kuna Mungu au hakuna Mungu hakubadishi chochote. Ni sawa na mtu anayesema haamini kuwa gari za brand ya Toyota zimetengenezwa Japan. Kutokuamini kwa mtu huyo hakubadili ukweli huo. Wewe umeumbwa na Mungu na kuna vitu Mungu aliyekuumba ameviwekea guidelines. Unaweza kuchagua kuamini au kutoamini lakini huwezi kuchagua madhara ya uamuzi wako