Kwenye Uzi wangu nilioandika leo asubuhi, nilielezea bayana jinsi ninavyoumia ninapotafakari matendo ya mwanamume anayomtendea mwanamke kwenye tendo la ndoa!
Maumivu yananijia pale ninapomfikiria binti yangu kwamba naye lazima awe mteja katika Jambo hilo!
Wengi walipandwa na hasira juu ya kauli zangu. Ninachoshangazwa ni kuwa, kauli zangu ni zilezile ambazo zinatumika kwenye nyuzi zingine zinazopendwa humu ndani!
Hapa kilichowakera wengi ni kwamba, mauidhui yangu yaliwalenga moja kwa moja mabinti tuliowazaa. Ingawa binti yangu ndio nilimuweka kuwa mhusika wa mjadala!
Hilo ndilo limeumiza nafsi za watu, na hapo ndipo napata uhakika kumbe kweli sisi sote tunateswa kifikra tunapoingia katika fikra za kuhusu tendo lile la ndoa juu ya mabinti wetu wenyewe!
Watu wanafurahia kuongelea matendo yote ya kingono katika muktadha wa mwanamke asiyehusiana naye kindugu! Wanasahau kuwa hao tunaowajadili Ni mabinti waliozaliwa na wazazi ambao ni sisi wenyewe!
Hadi Sasa ninapoandika uzi huu, huo Uzi wangu wa awali haujulikani uliko!
Maumivu yananijia pale ninapomfikiria binti yangu kwamba naye lazima awe mteja katika Jambo hilo!
Wengi walipandwa na hasira juu ya kauli zangu. Ninachoshangazwa ni kuwa, kauli zangu ni zilezile ambazo zinatumika kwenye nyuzi zingine zinazopendwa humu ndani!
Hapa kilichowakera wengi ni kwamba, mauidhui yangu yaliwalenga moja kwa moja mabinti tuliowazaa. Ingawa binti yangu ndio nilimuweka kuwa mhusika wa mjadala!
Hilo ndilo limeumiza nafsi za watu, na hapo ndipo napata uhakika kumbe kweli sisi sote tunateswa kifikra tunapoingia katika fikra za kuhusu tendo lile la ndoa juu ya mabinti wetu wenyewe!
Watu wanafurahia kuongelea matendo yote ya kingono katika muktadha wa mwanamke asiyehusiana naye kindugu! Wanasahau kuwa hao tunaowajadili Ni mabinti waliozaliwa na wazazi ambao ni sisi wenyewe!
Hadi Sasa ninapoandika uzi huu, huo Uzi wangu wa awali haujulikani uliko!