Kweli Mkuu, ndiyo maana wanagombea maana chama chao kinapenda watu wa aina hiyo!well said,wote hawafai.
Kweli Mkuu, ndiyo maana wanagombea maana chama chao kinapenda watu wa aina hiyo!well said,wote hawafai.
Watanzania "wananifurahisha" sana wanapo tout kushika ofisi kama credential, as opposed to walifanya nini waliposhika hizo ofisi.
Wote Sofia Simba na Anne Kilango Malecela hawafai, full stop!!
hapo kwa nasma Hamis malizia RIPHadija kopa vs Nasma Hamisi
first lady kivipiKilango hafai ana tamaa sana...kwanza hajui uongozi..angoje 2015 awe first lady..