Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Hawa wanaojiita waheshimiwa km Adam malima kutumia kodi zetu vibaya nama hii na kujipangia safari na kulala kwenye vyumba vya gharama namna hii na mahospitali yetu hayana madawa hivi wanatuonaje sisi?
Mbaya zaidi dola 4,000/= anaita vijihela eti vya matumizi madogomadogo
Kwa bei hiyo mi Tandale kwa Mtogole nalala miezi sita na mpododo nakula raha