dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Hawa wanaojiita waheshimiwa km Adam malima kutumia kodi zetu vibaya nama hii na kujipangia safari na kulala kwenye vyumba vya gharama namna hii na mahospitali yetu hayana madawa hivi wanatuonaje sisi?
Mbaya zaidi dola 4,000/= anaita vijihela eti vya matumizi madogomadogo
Mbaya zaidi dola 4,000/= anaita vijihela eti vya matumizi madogomadogo