Tembea uone mambo wewe umeishia hapio dar kila kitu unakishangaa. Unashangaa chumba cha dola 250? Mbona humshangai ndesambulo kumiliki helkopta? Au kwa vile. Siyo CCM? Mawazo finyu kiongozi hawezi kuwa kama wewe mchoma mkaa
Ndesamburo ni Mfanyabiashara wa Kimataifa, Malima anaishi kifahari kwa pesa ya walipa kodi!