Pesa inayotumika pale ni kodi yetu. Hii inaamana kuwa malipo usiku wake mmoja anawalaza njaa watz 400 wanaoishi chini ya dola moja... hii ni sawa kweli????? bora karudisha alichotuibiaKama hela inaruhusu kwanini asilale? Umasikini wenu usifanye na wengine waishi kwa tabu.
Hajaibiwa kupitia dirishani wewe,
Changu alieingia nae ndio kamkomba.
Kwa nchi za wenzetu hii ni kashfa kubwa sana, pengine hata Anaweza kushtakiwa kwa uzembe.
Maana hata hiyo laptop itakua Na Nyaraka mbalimbali za siri za serikali.
Wakuu blackberry ya m5 ikoje?
sidhani kama kuna hotel ya lk 4 Tanzania hii umesikia vibaya!
Kama hela inaruhusu kwanini asilale? Umasikini wenu usifanye na wengine waishi kwa tabu.