Lakini jibu limechelewa mno...!ndio....
Mako alimbwaga Kinana katika ubunge Arusha. Kwa hiyo kulikuwa hakuna uwezekano wa kupitishwa katika chama cha Kinana. Mitaani,baadhi ya watu wanasema Kikwete alikuwa anampigia debe Membe,ndio ikasababisha hasira ya wajumbe kumpigia kura Magufuli. Huku mitaani Musoma,watu wanaongea hayo tu,''Magufuli,Lowassa,...''.