January, Maharage, Yakubu: Mapacha watatu na dada yao waliojimilikisha sekta ya nishati ya Tanzania

Apr 20, 2011
28
29
InCollage_20230601_185059940.jpg


January, Maharage, Yakubu: Mapacha watatu na dada yao waliojimilikisha sekta ya nishati ya Tanzania

Na Mwandishi Maalumu

January Makamba, Maharage Chande na Saidi Yakubu ni maswahiba wa karibu sana, kiasi ambacho unaweza kuwaita ni mapacha watatu.

Mapacha hawa watatu wamekuwa pamoja kwenye shida na raha kwa miaka mingi sasa.

Wamekuwa pamoja kwenye shida wakati wa awamu iliyopita walipokuwa nje ya mfumo.

Na sasa hivi wako pamoja kwenye raha kwenye awamu hii wakiwa ndani ya mfumo.

Kwa sasa January ni Waziri wa Nishati, Yakubu ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na Maharage ni Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO.

Alipoteuliwa tu kuwa Waziri wa Nishati, January alihakikisha kuwa anawaweka karibu mapacha wenzake Maharage na Yakubu.

Jambo la kwanza alilofanya January ni kupendekeza kwa mamlaka ya uteuzi kuwa rafiki yake wa karibu Maharage ateuliwe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO.

Mapacha hao watatu wanashiikiana na dada wa January, Mwamvita, kupanga madili yote kwenye taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati.

Yakubu husafiri kwenda Afrika ya Kusini mara kwa mara kukutana na Mwamvita Makamba kupanga namna ya kuchota pesa zaidi kwenye sekta ya Nishati ya Tanzania.

MGODI WA TANESCO

TANESCO ni taasisi kubwa kuliko zote nchini, yenye maelfu ya wafanyakazi na mapato ya zaidi ya shilingi trilioni 1 kwa mwezi.

Kwa kumweka rafiki yake wa karibu Maharage kama Mkurugenzi Mkuu, January ni kama vile amejimilikisha MGODI unaotema Shilingi trilioni 1 kwa mwezi.

Kandarasi, tena na manunuzi yote makubwa ya TANESCO sasa hivi lazima yapite kwa January kwa kuwapa kazi watu anaowachagua yeye.

Taasisi nyingine kubwa chini ya Wizara ya Nishati, ikiwemo TPDC, EWURA na REA nazo zimekuwa zinatumiwa kama migodi binafsi na mapacha hao watatu kujichotea pesa za umma.

Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali seeikalimi zinasema kuwa kwa hakika mapacha hao watatu sasa wameiteka sekta yote ya nishati.

Mapacha hao watatu pia wameingiza makuvha yao kwenye miradi mikubwa nchini ikiwemo mradi wa JNHPP na mradi wa LNG.

January na Maharage wanahakikisha kuwa mapacha mwenzao, Yakubu, anapewa tenda kubwa za kisheria kupitia kwa kampuni yake binafsi ya uwakili ya Yakubu & Associates Chambers.

January na Maharage wamehakikisha kuwa TANESCO wanatoa tenda kadhaa kubwa za huduma za kisheria kwa kampuni ya Yakubu kwa mabilioni ya shilingi ambazo mapacha hao watatu wanagawana.

Bodi ya TANESCO chini ya Mwenyekiti Omar Issa ambayo ina wajumbe vigogo ikiwemo mtoto wa Mzee Bakhresa, Aboubakar Bakhresa, imegeuka kuwa boya kwani maamuzi yote hufanywa na January na Maharage.

Bodi ipo kama haipo kutokana na kila mtu kujua kuhusu urafiki wa karibu wa January na Maharage na hao wawili ndiyo hufanya maamuzi yote yanayohusu shirika.
 
View attachment 2642799

January, Maharage, Yakubu: Mapacha watatu na dada yao waliojimilikisha sekta ya nishati ya Tanzania

Na Mwandishi Maalumu

January Makamba, Maharage Chande na Saidi Yakubu ni maswahiba wa karibu sana, kiasi ambacho unaweza kuwaita ni mapacha watatu.

Mapacha hawa watatu wamekuwa pamoja kwenye shida na raha kwa miaka mingi sasa.

Wamekuwa pamoja kwenye shida wakati wa awamu iliyopita walipokuwa nje ya mfumo.

Na sasa hivi wako pamoja kwenye raha kwenye awamu hii wakiwa ndani ya mfumo.

Kwa sasa January ni Waziri wa Nishati, Yakubu ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na Maharage ni Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO.

Alipoteuliwa tu kuwa Waziri wa Nishati, January alihakikisha kuwa anawaweka karibu mapacha wenzake Maharage na Yakubu.

Jambo la kwanza alilofanya January ni kupendekeza kwa mamlaka ya uteuzi kuwa rafiki yake wa karibu Maharage ateuliwe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO.

Mapacha hao watatu wanashiikiana na dada wa January, Mwamvita, kupanga madili yote kwenye taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati.

Yakubu husafiri kwenda Afrika ya Kusini mara kwa mara kukutana na Mwamvita Makamba kupanga namna ya kuchota pesa zaidi kwenye sekta ya Nishati ya Tanzania.

MGODI WA TANESCO

TANESCO ni taasisi kubwa kuliko zote nchini, yenye maelfu ya wafanyakazi na mapato ya zaidi ya shilingi trilioni 1 kwa mwezi.

Kwa kumweka rafiki yake wa karibu Maharage kama Mkurugenzi Mkuu, January ni kama vile amejimilikisha MGODI unaotema Shilingi trilioni 1 kwa mwezi.

Kandarasi, tena na manunuzi yote makubwa ya TANESCO sasa hivi lazima yapite kwa January kwa kuwapa kazi watu anaowachagua yeye.

Taasisi nyingine kubwa chini ya Wizara ya Nishati, ikiwemo TPDC, EWURA na REA nazo zimekuwa zinatumiwa kama migodi binafsi na mapacha hao watatu kujichotea pesa za umma.

Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali seeikalimi zinasema kuwa kwa hakika mapacha hao watatu sasa wameiteka sekta yote ya nishati.

Mapacha hao watatu pia wameingiza makuvha yao kwenye miradi mikubwa nchini ikiwemo mradi wa JNHPP na mradi wa LNG.

January na Maharage wanahakikisha kuwa mapacha mwenzao, Yakubu, anapewa tenda kubwa za kisheria kupitia kwa kampuni yake binafsi ya uwakili ya Yakubu & Associates Chambers.

January na Maharage wamehakikisha kuwa TANESCO wanatoa tenda kadhaa kubwa za huduma za kisheria kwa kampuni ya Yakubu kwa mabilioni ya shilingi ambazo mapacha hao watatu wanagawana.

Bodi ya TANESCO chini ya Mwenyekiti Omar Issa ambayo ina wajumbe vigogo ikiwemo mtoto wa Mzee Bakhresa, Aboubakar Bakhresa, imegeuka kuwa boya kwani maamuzi yote hufanywa na January na Maharage.

Bodi ipo kama haipo kutokana na kila mtu kujua kuhusu urafiki wa karibu wa January na Maharage na hao wawili ndiyo hufanya maamuzi yote yanayohusu shirika.
Rais Samia avunje Baraza la Mawaziri, awapangue kina January na wengine aanze na safu mpya kabla ya 2025

Ni ushauri tu
 
View attachment 2642799

January, Maharage, Yakubu: Mapacha watatu na dada yao waliojimilikisha sekta ya nishati ya Tanzania

Na Mwandishi Maalumu

January Makamba, Maharage Chande na Saidi Yakubu ni maswahiba wa karibu sana, kiasi ambacho unaweza kuwaita ni mapacha watatu.

Mapacha hawa watatu wamekuwa pamoja kwenye shida na raha kwa miaka mingi sasa.

Wamekuwa pamoja kwenye shida wakati wa awamu iliyopita walipokuwa nje ya mfumo.

Na sasa hivi wako pamoja kwenye raha kwenye awamu hii wakiwa ndani ya mfumo.

Kwa sasa January ni Waziri wa Nishati, Yakubu ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na Maharage ni Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO.

Alipoteuliwa tu kuwa Waziri wa Nishati, January alihakikisha kuwa anawaweka karibu mapacha wenzake Maharage na Yakubu.

Jambo la kwanza alilofanya January ni kupendekeza kwa mamlaka ya uteuzi kuwa rafiki yake wa karibu Maharage ateuliwe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO.

Mapacha hao watatu wanashiikiana na dada wa January, Mwamvita, kupanga madili yote kwenye taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati.

Yakubu husafiri kwenda Afrika ya Kusini mara kwa mara kukutana na Mwamvita Makamba kupanga namna ya kuchota pesa zaidi kwenye sekta ya Nishati ya Tanzania.

MGODI WA TANESCO

TANESCO ni taasisi kubwa kuliko zote nchini, yenye maelfu ya wafanyakazi na mapato ya zaidi ya shilingi trilioni 1 kwa mwezi.

Kwa kumweka rafiki yake wa karibu Maharage kama Mkurugenzi Mkuu, January ni kama vile amejimilikisha MGODI unaotema Shilingi trilioni 1 kwa mwezi.

Kandarasi, tena na manunuzi yote makubwa ya TANESCO sasa hivi lazima yapite kwa January kwa kuwapa kazi watu anaowachagua yeye.

Taasisi nyingine kubwa chini ya Wizara ya Nishati, ikiwemo TPDC, EWURA na REA nazo zimekuwa zinatumiwa kama migodi binafsi na mapacha hao watatu kujichotea pesa za umma.

Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali seeikalimi zinasema kuwa kwa hakika mapacha hao watatu sasa wameiteka sekta yote ya nishati.

Mapacha hao watatu pia wameingiza makuvha yao kwenye miradi mikubwa nchini ikiwemo mradi wa JNHPP na mradi wa LNG.

January na Maharage wanahakikisha kuwa mapacha mwenzao, Yakubu, anapewa tenda kubwa za kisheria kupitia kwa kampuni yake binafsi ya uwakili ya Yakubu & Associates Chambers.

January na Maharage wamehakikisha kuwa TANESCO wanatoa tenda kadhaa kubwa za huduma za kisheria kwa kampuni ya Yakubu kwa mabilioni ya shilingi ambazo mapacha hao watatu wanagawana.

Bodi ya TANESCO chini ya Mwenyekiti Omar Issa ambayo ina wajumbe vigogo ikiwemo mtoto wa Mzee Bakhresa, Aboubakar Bakhresa, imegeuka kuwa boya kwani maamuzi yote hufanywa na January na Maharage.

Bodi ipo kama haipo kutokana na kila mtu kujua kuhusu urafiki wa karibu wa January na Maharage na hao wawili ndiyo hufanya maamuzi yote yanayohusu shirika.
Kumbe eeh sawq
 
View attachment 2642799

January, Maharage, Yakubu: Mapacha watatu na dada yao waliojimilikisha sekta ya nishati ya Tanzania

Na Mwandishi Maalumu

January Makamba, Maharage Chande na Saidi Yakubu ni maswahiba wa karibu sana, kiasi ambacho unaweza kuwaita ni mapacha watatu.

Mapacha hawa watatu wamekuwa pamoja kwenye shida na raha kwa miaka mingi sasa.

Wamekuwa pamoja kwenye shida wakati wa awamu iliyopita walipokuwa nje ya mfumo.

Na sasa hivi wako pamoja kwenye raha kwenye awamu hii wakiwa ndani ya mfumo.

Kwa sasa January ni Waziri wa Nishati, Yakubu ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na Maharage ni Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO.

Alipoteuliwa tu kuwa Waziri wa Nishati, January alihakikisha kuwa anawaweka karibu mapacha wenzake Maharage na Yakubu.

Jambo la kwanza alilofanya January ni kupendekeza kwa mamlaka ya uteuzi kuwa rafiki yake wa karibu Maharage ateuliwe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO.

Mapacha hao watatu wanashiikiana na dada wa January, Mwamvita, kupanga madili yote kwenye taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati.

Yakubu husafiri kwenda Afrika ya Kusini mara kwa mara kukutana na Mwamvita Makamba kupanga namna ya kuchota pesa zaidi kwenye sekta ya Nishati ya Tanzania.

MGODI WA TANESCO

TANESCO ni taasisi kubwa kuliko zote nchini, yenye maelfu ya wafanyakazi na mapato ya zaidi ya shilingi trilioni 1 kwa mwezi.

Kwa kumweka rafiki yake wa karibu Maharage kama Mkurugenzi Mkuu, January ni kama vile amejimilikisha MGODI unaotema Shilingi trilioni 1 kwa mwezi.

Kandarasi, tena na manunuzi yote makubwa ya TANESCO sasa hivi lazima yapite kwa January kwa kuwapa kazi watu anaowachagua yeye.

Taasisi nyingine kubwa chini ya Wizara ya Nishati, ikiwemo TPDC, EWURA na REA nazo zimekuwa zinatumiwa kama migodi binafsi na mapacha hao watatu kujichotea pesa za umma.

Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali seeikalimi zinasema kuwa kwa hakika mapacha hao watatu sasa wameiteka sekta yote ya nishati.

Mapacha hao watatu pia wameingiza makuvha yao kwenye miradi mikubwa nchini ikiwemo mradi wa JNHPP na mradi wa LNG.

January na Maharage wanahakikisha kuwa mapacha mwenzao, Yakubu, anapewa tenda kubwa za kisheria kupitia kwa kampuni yake binafsi ya uwakili ya Yakubu & Associates Chambers.

January na Maharage wamehakikisha kuwa TANESCO wanatoa tenda kadhaa kubwa za huduma za kisheria kwa kampuni ya Yakubu kwa mabilioni ya shilingi ambazo mapacha hao watatu wanagawana.

Bodi ya TANESCO chini ya Mwenyekiti Omar Issa ambayo ina wajumbe vigogo ikiwemo mtoto wa Mzee Bakhresa, Aboubakar Bakhresa, imegeuka kuwa boya kwani maamuzi yote hufanywa na January na Maharage.

Bodi ipo kama haipo kutokana na kila mtu kujua kuhusu urafiki wa karibu wa January na Maharage na hao wawili ndiyo hufanya maamuzi yote yanayohusu shirika.
HII SYNDICATE NI HATARI SANA!

JANUARY MAKAMBA AJIUZULU
 
View attachment 2642799

January, Maharage, Yakubu: Mapacha watatu na dada yao waliojimilikisha sekta ya nishati ya Tanzania

Na Mwandishi Maalumu

January Makamba, Maharage Chande na Saidi Yakubu ni maswahiba wa karibu sana, kiasi ambacho unaweza kuwaita ni mapacha watatu.

Mapacha hawa watatu wamekuwa pamoja kwenye shida na raha kwa miaka mingi sasa.

Wamekuwa pamoja kwenye shida wakati wa awamu iliyopita walipokuwa nje ya mfumo.

Na sasa hivi wako pamoja kwenye raha kwenye awamu hii wakiwa ndani ya mfumo.

Kwa sasa January ni Waziri wa Nishati, Yakubu ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na Maharage ni Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO.

Alipoteuliwa tu kuwa Waziri wa Nishati, January alihakikisha kuwa anawaweka karibu mapacha wenzake Maharage na Yakubu.

Jambo la kwanza alilofanya January ni kupendekeza kwa mamlaka ya uteuzi kuwa rafiki yake wa karibu Maharage ateuliwe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO.

Mapacha hao watatu wanashiikiana na dada wa January, Mwamvita, kupanga madili yote kwenye taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati.

Yakubu husafiri kwenda Afrika ya Kusini mara kwa mara kukutana na Mwamvita Makamba kupanga namna ya kuchota pesa zaidi kwenye sekta ya Nishati ya Tanzania.

MGODI WA TANESCO

TANESCO ni taasisi kubwa kuliko zote nchini, yenye maelfu ya wafanyakazi na mapato ya zaidi ya shilingi trilioni 1 kwa mwezi.

Kwa kumweka rafiki yake wa karibu Maharage kama Mkurugenzi Mkuu, January ni kama vile amejimilikisha MGODI unaotema Shilingi trilioni 1 kwa mwezi.

Kandarasi, tena na manunuzi yote makubwa ya TANESCO sasa hivi lazima yapite kwa January kwa kuwapa kazi watu anaowachagua yeye.

Taasisi nyingine kubwa chini ya Wizara ya Nishati, ikiwemo TPDC, EWURA na REA nazo zimekuwa zinatumiwa kama migodi binafsi na mapacha hao watatu kujichotea pesa za umma.

Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali seeikalimi zinasema kuwa kwa hakika mapacha hao watatu sasa wameiteka sekta yote ya nishati.

Mapacha hao watatu pia wameingiza makuvha yao kwenye miradi mikubwa nchini ikiwemo mradi wa JNHPP na mradi wa LNG.

January na Maharage wanahakikisha kuwa mapacha mwenzao, Yakubu, anapewa tenda kubwa za kisheria kupitia kwa kampuni yake binafsi ya uwakili ya Yakubu & Associates Chambers.

January na Maharage wamehakikisha kuwa TANESCO wanatoa tenda kadhaa kubwa za huduma za kisheria kwa kampuni ya Yakubu kwa mabilioni ya shilingi ambazo mapacha hao watatu wanagawana.

Bodi ya TANESCO chini ya Mwenyekiti Omar Issa ambayo ina wajumbe vigogo ikiwemo mtoto wa Mzee Bakhresa, Aboubakar Bakhresa, imegeuka kuwa boya kwani maamuzi yote hufanywa na January na Maharage.

Bodi ipo kama haipo kutokana na kila mtu kujua kuhusu urafiki wa karibu wa January na Maharage na hao wawili ndiyo hufanya maamuzi yote yanayohusu shirika.
Mama yupo tu maswala kama haya huwezi kumsikia akisema kitu...mpka 2025 nchi itakua ok
 
Rais Samia avunje Baraza la Mawaziri, awapangue kina January na wengine aanze na safu mpya kabla ya 2025

Ni ushauri tu
Lakini hebu tuwe wakweli hivi SASA Kuna wizara ambayo hakuna upigaji CAG kaonesha Karibu Kila wizara au idara Kuna upigaji walipumzika kidogo wakati wa Hayati ila SASA ni mwendo wa kutafuna tu. Kikubwa tuombe Mungu na nyinyi mpate teuzi mkale.Maana Kwa SASA hakuna anaeogopa.
 
View attachment 2642799

January, Maharage, Yakubu: Mapacha watatu na dada yao waliojimilikisha sekta ya nishati ya Tanzania

Na Mwandishi Maalumu

January Makamba, Maharage Chande na Saidi Yakubu ni maswahiba wa karibu sana, kiasi ambacho unaweza kuwaita ni mapacha watatu.

Mapacha hawa watatu wamekuwa pamoja kwenye shida na raha kwa miaka mingi sasa.

Wamekuwa pamoja kwenye shida wakati wa awamu iliyopita walipokuwa nje ya mfumo.

Na sasa hivi wako pamoja kwenye raha kwenye awamu hii wakiwa ndani ya mfumo.

Kwa sasa January ni Waziri wa Nishati, Yakubu ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na Maharage ni Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO.

Alipoteuliwa tu kuwa Waziri wa Nishati, January alihakikisha kuwa anawaweka karibu mapacha wenzake Maharage na Yakubu.

Jambo la kwanza alilofanya January ni kupendekeza kwa mamlaka ya uteuzi kuwa rafiki yake wa karibu Maharage ateuliwe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO.

Mapacha hao watatu wanashiikiana na dada wa January, Mwamvita, kupanga madili yote kwenye taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati.

Yakubu husafiri kwenda Afrika ya Kusini mara kwa mara kukutana na Mwamvita Makamba kupanga namna ya kuchota pesa zaidi kwenye sekta ya Nishati ya Tanzania.

MGODI WA TANESCO

TANESCO ni taasisi kubwa kuliko zote nchini, yenye maelfu ya wafanyakazi na mapato ya zaidi ya shilingi trilioni 1 kwa mwezi.

Kwa kumweka rafiki yake wa karibu Maharage kama Mkurugenzi Mkuu, January ni kama vile amejimilikisha MGODI unaotema Shilingi trilioni 1 kwa mwezi.

Kandarasi, tena na manunuzi yote makubwa ya TANESCO sasa hivi lazima yapite kwa January kwa kuwapa kazi watu anaowachagua yeye.

Taasisi nyingine kubwa chini ya Wizara ya Nishati, ikiwemo TPDC, EWURA na REA nazo zimekuwa zinatumiwa kama migodi binafsi na mapacha hao watatu kujichotea pesa za umma.

Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali seeikalimi zinasema kuwa kwa hakika mapacha hao watatu sasa wameiteka sekta yote ya nishati.

Mapacha hao watatu pia wameingiza makuvha yao kwenye miradi mikubwa nchini ikiwemo mradi wa JNHPP na mradi wa LNG.

January na Maharage wanahakikisha kuwa mapacha mwenzao, Yakubu, anapewa tenda kubwa za kisheria kupitia kwa kampuni yake binafsi ya uwakili ya Yakubu & Associates Chambers.

January na Maharage wamehakikisha kuwa TANESCO wanatoa tenda kadhaa kubwa za huduma za kisheria kwa kampuni ya Yakubu kwa mabilioni ya shilingi ambazo mapacha hao watatu wanagawana.

Bodi ya TANESCO chini ya Mwenyekiti Omar Issa ambayo ina wajumbe vigogo ikiwemo mtoto wa Mzee Bakhresa, Aboubakar Bakhresa, imegeuka kuwa boya kwani maamuzi yote hufanywa na January na Maharage.

Bodi ipo kama haipo kutokana na kila mtu kujua kuhusu urafiki wa karibu wa January na Maharage na hao wawili ndiyo hufanya maamuzi yote yanayohusu shirika.
Mtakuja kukaaazwa kwa kutumika kuchafua majina ya watu.




Unadhani ukikaa nyuma ya keyboard unajiona mwaaamba anisi wewe.
 
View attachment 2642799

January, Maharage, Yakubu: Mapacha watatu na dada yao waliojimilikisha sekta ya nishati ya Tanzania

Na Mwandishi Maalumu

January Makamba, Maharage Chande na Saidi Yakubu ni maswahiba wa karibu sana, kiasi ambacho unaweza kuwaita ni mapacha watatu.

Mapacha hawa watatu wamekuwa pamoja kwenye shida na raha kwa miaka mingi sasa.

Wamekuwa pamoja kwenye shida wakati wa awamu iliyopita walipokuwa nje ya mfumo.

Na sasa hivi wako pamoja kwenye raha kwenye awamu hii wakiwa ndani ya mfumo.

Kwa sasa January ni Waziri wa Nishati, Yakubu ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na Maharage ni Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO.

Alipoteuliwa tu kuwa Waziri wa Nishati, January alihakikisha kuwa anawaweka karibu mapacha wenzake Maharage na Yakubu.

Jambo la kwanza alilofanya January ni kupendekeza kwa mamlaka ya uteuzi kuwa rafiki yake wa karibu Maharage ateuliwe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO.

Mapacha hao watatu wanashiikiana na dada wa January, Mwamvita, kupanga madili yote kwenye taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati.

Yakubu husafiri kwenda Afrika ya Kusini mara kwa mara kukutana na Mwamvita Makamba kupanga namna ya kuchota pesa zaidi kwenye sekta ya Nishati ya Tanzania.

MGODI WA TANESCO

TANESCO ni taasisi kubwa kuliko zote nchini, yenye maelfu ya wafanyakazi na mapato ya zaidi ya shilingi trilioni 1 kwa mwezi.

Kwa kumweka rafiki yake wa karibu Maharage kama Mkurugenzi Mkuu, January ni kama vile amejimilikisha MGODI unaotema Shilingi trilioni 1 kwa mwezi.

Kandarasi, tena na manunuzi yote makubwa ya TANESCO sasa hivi lazima yapite kwa January kwa kuwapa kazi watu anaowachagua yeye.

Taasisi nyingine kubwa chini ya Wizara ya Nishati, ikiwemo TPDC, EWURA na REA nazo zimekuwa zinatumiwa kama migodi binafsi na mapacha hao watatu kujichotea pesa za umma.

Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali seeikalimi zinasema kuwa kwa hakika mapacha hao watatu sasa wameiteka sekta yote ya nishati.

Mapacha hao watatu pia wameingiza makuvha yao kwenye miradi mikubwa nchini ikiwemo mradi wa JNHPP na mradi wa LNG.

January na Maharage wanahakikisha kuwa mapacha mwenzao, Yakubu, anapewa tenda kubwa za kisheria kupitia kwa kampuni yake binafsi ya uwakili ya Yakubu & Associates Chambers.

January na Maharage wamehakikisha kuwa TANESCO wanatoa tenda kadhaa kubwa za huduma za kisheria kwa kampuni ya Yakubu kwa mabilioni ya shilingi ambazo mapacha hao watatu wanagawana.

Bodi ya TANESCO chini ya Mwenyekiti Omar Issa ambayo ina wajumbe vigogo ikiwemo mtoto wa Mzee Bakhresa, Aboubakar Bakhresa, imegeuka kuwa boya kwani maamuzi yote hufanywa na January na Maharage.

Bodi ipo kama haipo kutokana na kila mtu kujua kuhusu urafiki wa karibu wa January na Maharage na hao wawili ndiyo hufanya maamuzi yote yanayohusu shirika.
Hili inabidi niliweke hivi: "POPOTE ALIPO MAKAMBA SINA IMANI KABISA NA MAHALI HAPO."

Tunahitaji 'kichaa' mwingine, asiyeonea watu kushughulika na timu hizi zinazojipambanua kwa wizi usokuwa na aibu.

The boy is naturally borne to be a crook!
 
Hili inabidi niliweke hivi: "POPOTE ALIPO MAKAMBA SINA IMANI KABISA NA MAHALI HAPO."

Tunahitaji 'kichaa' mwingine, asiyeonea watu kushughulika na timu hizi zinazojipambanua kwa wizi usokuwa na aibu.

The boy is naturally borne to be a crook!



Kichaa kwa Kweli Hapana!

Maisha ya kuishi na wasiwasi na mashaka na nidhamu za woga Hapana aisee.

Bora mtu ushindie chai tu au ugali na tembele huku ukiwa na amani moyoni pasipo hofu.

Maisha ya Hofu kila mahala nani anataka?
 
Hili inabidi niliweke hivi: "POPOTE ALIPO MAKAMBA SINA IMANI KABISA NA MAHALI HAPO."

Tunahitaji 'kichaa' mwingine, asiyeonea watu kushughulika na timu hizi zinazojipambanua kwa wizi usokuwa na aibu.

The boy is naturally borne to be a crook!
This is so unfair. I am sure you don't even know the boy. As a matter of fact you don't even have any evidence. Lol.. Driven by what emotions??



Acheni kuchafua watu mitandaoniii. At least wekeni maushahidi sio andiko kama la Shigongo.
 
Back
Top Bottom