Nenga
Member
- Sep 3, 2007
- 77
- 21
Kwamza ni aibu aibu kwa hao wakina RACHAEL kusubiri mpaka wapewe barua na Secretarieti, hadhi yao hata kwa wananchi wanao waongoza katika majimbo yao itashuka.
Kuna mmoja kati yao alipata stroke mala baada ya kuukosa u PM, sasa akipata barua itakuwa vp? washauri wao wanawadanganya kwa kupenda vijipesa na ahadi za kupata madaraka hapo watakapo fsnikiwa. Huyo mwingine tunasikia kisha kimbia nchi na amekuwa akiishi huko kusini mwa africa kwa muda sasa.hapa kwetu anaonekana kwa matukio tu, eti kwasababu hamamini Rafiki yake coz anytime anaweza kubadilika.
Kuna mmoja kati yao alipata stroke mala baada ya kuukosa u PM, sasa akipata barua itakuwa vp? washauri wao wanawadanganya kwa kupenda vijipesa na ahadi za kupata madaraka hapo watakapo fsnikiwa. Huyo mwingine tunasikia kisha kimbia nchi na amekuwa akiishi huko kusini mwa africa kwa muda sasa.hapa kwetu anaonekana kwa matukio tu, eti kwasababu hamamini Rafiki yake coz anytime anaweza kubadilika.