Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Makongoro aelimishwe ya kuwa ndani ya kanisani NDOA haivunjwi na mwanadamu. Kiroho Madaraka na Letisia ni wanandoa na kama wanatembea nje kati yao basi huyo ni mzinifu tu.
Mimi sikujua ya kuwa Makongoro anaupeo finyu hivyo yaani mambo ya ndoa yanatoka wapi na sifa za kuwa mbungeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
Jamani mimi nina kondoo wawili sijui niwafanyeje lakini ningependa kumtumia Makongoro awachunge maana sioni kazi nyingine awezayo kufanyaaaaaaaaaa LETICIA TUNAMWOMBEA ASHINDE HICHO KITI CHA UBUNGE HALAFU AWAALIKE MASHEMEJI ZAKE KWENYE KARAMUUUUUU
Mimi sikujua ya kuwa Makongoro anaupeo finyu hivyo yaani mambo ya ndoa yanatoka wapi na sifa za kuwa mbungeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
Jamani mimi nina kondoo wawili sijui niwafanyeje lakini ningependa kumtumia Makongoro awachunge maana sioni kazi nyingine awezayo kufanyaaaaaaaaaa LETICIA TUNAMWOMBEA ASHINDE HICHO KITI CHA UBUNGE HALAFU AWAALIKE MASHEMEJI ZAKE KWENYE KARAMUUUUUU