Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Madaraka alimpa talaka? Kama ndiyo aombe amri ya mahakama Leticia azuiwe kutumia jina hilo. Kama hamna talaka na Leticia hajaolewa na mtu mwingine basi Makongoro hana hoja.
Hii nayo pilipili ya shamba.Wakija kuelewana sijui atajifichia wapi tobaaaaaaaaaaaa!