DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
May 10, 2012
8,585
17,692
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ametangaza kufanyika kwa zoezi la usafi katika Wilaya zote 5 kuanzia January 23 hadi 24 January zoezi ambalo litahusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo vingine vya dola.

RC Chalamila ameyasema hayo leo katika ibada ya kuwekwa Wakfu Mwangalizi wa Jimbo la Babtist la Dar es Salaam, Makamu , Katibu, Katibu Msaidizi, Mhasibu na Mhasibu Msaidizi ambapo amewataka Wakazi wa Dar es Salaam kutokuwa na shaka watakapoviona Vyombo vya Dola vikifanya usafi.

Chalamila amesema katika kufanya usafi huo pia kutakuwa na magari mbalimbali ya kijeshi kwa ajili ya kukusanya takataka na kuwataka Waumini kuwa Mabalozi wazuri wa kampeni ya usafi ili kupambana na magonjwa mbalimbali.

===========For English Audience Only===========

The Regional Commissioner of Dar es Salaam, Albert Chalamila, has announced the participation of soldiers in the cleanliness exercise on January 23 and 24, 2024, as scheduled for the planned demonstrations in all five districts from January 23 to January 24. The exercise will involve more than 5000 soldiers, over 3000 police officers, the Field Force Unit (FFU), and other law enforcement agencies.

RC Chalamila made this announcement during the consecration service of the Supervisor of the Baptist Diocese of Dar es Salaam, including the Vice Supervisor, Secretary, Assistant Secretary, Treasurer, and Assistant Treasurer. He urged the residents of Dar es Salaam not to be alarmed when they see law enforcement agencies participating in the cleanliness campaign.

Chalamila emphasized that the cleanliness initiative will also include various military vehicles for waste collection. He called on the citizens to be good ambassadors of the cleanliness campaign to combat various diseases.
FB_IMG_1705164890404.jpg


_______________
---------------------
Soma pia
CHADEMA Yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni


Hata hivyo ikumbukwe kuwa siku hiyi imepangwa kama ni siku ya Maandamano ya Wanachama wa CHADEMA DAR ES SALAM ili.kupinga baadhi ya mambo nchini..

FB_IMG_1705165078031.jpg
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ametangaza kufanyika kwa zoezi la usafi katika Wilaya zote 5 kuanzia January 23 hadi 24 January zoezi ambalo litahusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo vingine vya dola.

RC Chalamila ameyasema hayo leo katika ibada ya kuwekwa Wakfu Mwangalizi wa Jimbo la Babtist la Dar es Salaam, Makamu , Katibu, Katibu Msaidizi, Mhasibu na Mhasibu Msaidizi ambapo amewataka Wakazi wa Dar es Salaam kutokuwa na shaka watakapoviona Vyombo vya Dola vikifanya usafi.

Chalamila amesema katika kufanya usafi huo pia kutakuwa na magari mbalimbali ya kijeshi kwa ajili ya kukusanya takataka na kuwataka Waumini kuwa Mabalozi wazuri wa kampeni ya usafi ili kupambana na magonjwa mbalimbali.

My Take
Maridhiano na Samia ilikuwa utapeli
 
Uzuri wa familia ya Mbowe pamoja na mkewe Erythrocyte watakuwa nyumbani siku hiyo huku Mbowe akiendelea kula uroda wa mkewe Erythrocyte mana tayari kuna wapumbavu wa chadema wamejiandaa kuandamana ila kinachoniuma ni wale wananchi wasio na lolote hata hao wanaowapigania wakipata uongozi hawawezi kuwakumbuka hao waliowapigania
 
Back
Top Bottom