Ujinga mtupu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 851
- 1,887
"Asiyetoa mchango au ada ya takataka akamatwe, na ndio maana tarehe 23 na 24 tutafanya usafi kabambe na magari yatakuwepo kubeba taka sasa atakaejifanya takataka na yeye atabebwa"
"Tarehe 20 na 21 nitagawa vifaa vya usafi kwa vyombo vya dola watu wapige kazi mpaka jioni, watu wanachanganya sijui kuna maandano ila sisi tunaendelea na kazi hizo taarifa za maandamano zinapatikana kwa Muliro" - Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam. #EastAfrucaTV
"Tarehe 20 na 21 nitagawa vifaa vya usafi kwa vyombo vya dola watu wapige kazi mpaka jioni, watu wanachanganya sijui kuna maandano ila sisi tunaendelea na kazi hizo taarifa za maandamano zinapatikana kwa Muliro" - Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam. #EastAfrucaTV