makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
useless people where are we taking this country we need people who are upright to lead this country we are tired of these crooks, Let the go to hell, Politics and education can never walk together, Let the experts do there work Lukuvi is a stdr 7 so he cant know the negative impact this will have of the future generation
tunduruboy,
Wewe ndiyo useless person!Your broken English reveals and tell the true inside of you. Sijui kiwango chako cha elimu, na wewe ulipata daraja gani F4 yako,ninachotaka kukuambia ni kwamba ulichoongea ni pumba na hakina mantiki.
Tangazo la Wizara ya Elimu liko wazi kabisa kwamba wanatekeleza agizo la Serikali kukingana na maelekezo ya Tume ya PM kuwa LAZIMA MCHAKATO WA MATOKEO YA F4 MWAKA 2012 UFANANE NA MICHAKATO YA MIAKA YA NYUMA(GRADING PROCESS) AMBAO UMEKUWA UKITUMIKA TANGU MWAKA 1973. SINA HAKIKA KAMA ULIKUWA UMESHAZALIWA!
Sasa kama utaratibu wa Grading umekuwa ukitumika kwa miaka yote tangu 1973,utaratibu ambao hata mimi umeweza kunifikisha hapa nilipo na elimu yangu nzuri kabisa ambayo nina hakika hata tukiingia darasani leo ninatoka na flying colours. Iweje vijana,watoto na wadogo zetu leo wafelishwe kwa kutumia utaratibu mpya baada ya miaka 40?????!!!!
Umesema 'politics and education can never walk together'!!Seems you don't know what you're talking. SERA ZA ELIMU MAHALI POPOTE DUNIANI ZINAHUSISHA SIASA KWA MAANA WANAOTUNGA SERA NI HAOHAO WANASIASA(WABUNGE) WALIOCHAGULIWA NA WANANCHI WENYEWE. So, you can never separate politics and education. Never!
Acheni NECTA wafanye kazi yao kulingana na maelekezo ya Tume na Serikali halafu tuone sasa matokeo yatabakia vilevile au kutakuwa na mabadiliko. Kama mwanafunzi wa kidato cha 4 mwaka 2011 alipata D kwa kupata alama 30% kwa utaratibu wa (D:alama 21-40) kwa utaratibu ulokuwa unatumika tangu 1973 lakini mwanafunzi wa kidato cha 4 mwaka 2012 aliyepata 30% apate F(F:alama 0-34)???