JokaKuu,NasDaz,
..asante kwa majibu yako.
..I hope Kitila Mkumbo na Kichuguu watapata nafasi kusoma post yako na kutoa maoni yake.
..mimi nashangaa kusoma kwamba waalimu wa shule mbalimbali walikuwa hawana taarifa kwamba NECTA wamebadili viwango vya ufaulu. imebainishwa kwamba NECTA wanapofanya uamuzi kama huo wizara huwa wanashirikishwa.
..mimi nina swali moja kwako: according to Kitila Mkumbo viwango vipya vya madaraja vilijaribiwa kwa watahiniwa wa 2011 na necta hawakuona matokeo mabaya. sasa kama taarifa hizo ni za kweli, bado unafikiri kilichowafelisha watahiniwa wa 2011 ni viwango vipya vya madaraja??
..It will also be interesting to know nini kilitokea NECTA na WIZARANI baada ya kupatikana matokeo mabaya kiasi hiki.
Nimemsoma Kitila Mkumbo, na kwa hakika nimemuelewa vizuri sana! Aidha, sina shaka kwamba baada ya mfumo huo mpya kujaribiwa matokeo ya 2010 & 2011, the margin btn the two systems was found to be narrow! Technically, matokeo ya hiyo margin inaweza kuwa very right. If so, then why wasting time na suala la kutumia viwango vya zamani ikiwa diffrerence yenyewe ni ndogo sana!
But if we raise the concern above (with RED), what if I raise another concern kwamba kulikuwa na maana gani basi ya kutumia mfumo mpya if there's insignificant difference between the TWO systems? Si tuendelee tu na mfumo wa zamani ikiwa hamna tofauti kubwa!!! How does it sound?
Anyway, in short, alichoongea Kitila Mkumbo, mathematically kipo right lakini kimsingi yupo general sana! Hapa kuna sababu kuu mbili za msingi ambazo zimewafanya waone hamna tofauti yoyote! Sababu ya kwanza, population ya wale wanaopata Div IV na ZERO, na sababu ya pili ni Uhalisia wa hizo zinazoitwa Div Four!
Tuanze na sababu hii ya pili coz' ipo wazi kabisa!
JokaKuu, ukipata muda jaribu kupitia matokeo hayo na mkazo uweke kwa wale tulioambiwa wamepata Division Four, ambao kimsingi nao ni wengi sana....I guess, they consitute the largest population! Ukichunguza kwa makini, wengi wa hawa waliopata Div IV wamepata Div Four MBAYA....wengi wamepata Div Four kuanzia Point 30 na kuendelea! Hii maana yake ni kwamba, wengi wao wana angalau "F" tatu! Na kama mtu ana ma-F yote hayo, basi obvious, hata D zenyewe ni za kuvutavuta! Unaweza kuta wengi wao ni wale ambao wana D za 30-40!! Hii maana yake ni kwamba, hata ukitumia system ya zamani ya D ni 21-40, bado hawa watakuwa na D zile zile!
Kwa upande mwingine, kwavile waliweza kupata angalau 4 D's; maana yake ni kwamba wanajiweza weza kidogo to the point kwamba si ajabu hata zile F zao zina kaunafuu! Which means, kama ni kweli viwango vilivyotumika ni vipya, basi ajabu hawa walikuwa na F za(say) 22-29 ambazo ukizileta kwenye OLD system, zinabadilika na kuwa D!
So, what's the NET OUTCOME? Mtu kama huyo bado atakuwa na ile ile Div Four, lakini wakati awali alikuwa na Division IV Point 31, hivi sasa atakuwa na Div IV Point 28! Vipi, nimeeleweka? Kama ndiyo, sasa tuhitimishe! Huyu mtu bado ana Div IV kama mara ya kwanza tofauti iliyopo ni kwamba Div Four ya sasa itakuwa ime-improve tofauti na ile ya zamani...lakini zote ni FOUR! So, ukifanya analysis yako kwa kuangalia Div Four as a whole, utaishia na jibu la DR. Kitila Mkumbo! Difference, haitaonekana BUT when you EXTRACT hizo Div Four, tofauti itaonekana!
Tukirudi kwa wale waliofaulu(Div I,II,III) kutakuwa na the same movement! Lakini tofauti na hao wa juu, movement kwenye kundi hili itakuwa na COMPLETE POSITIVE EFFECT especially kwa wale waliopata B's! Ukiangalia zile takwimu ambazo nilizotoa, utagundua kwamba Div I zilishuka sana na ku-boost watu waliopata Div II ! Hii maana yake ni kwamba hawa walikuwa na vi-C's ambavyo hatimae vikatengeneza hizo Div II! So, kwa kuangalia the same concept, hawa wana uwezo mkubwa na si ajabu C zao zilikuwa ni zile ambazo under normal condition zingekuwa B's na hivyo kuingia kwenye kundi la wale wenye Div I. Aidha, wale waliopata B's na A's ni wale wakali zaidi ambao under normal condition hizo B's zingekuwa ndo A's na kuwapeleka kwenye Division I za Point 7 ambazo kimsingi in 2012 zipo adimu ile mbaya!
Lakini, kwa bahati mbaya kabisa, population hii ya Div I, II, III ni ndogo sana compared na ile ya Div IV na ZERO! So, hata kama kutakuwa na hiyo improvement, kisha ukataka kulinganisha system mpya na miaka ya nyuma, bado utapata jibu kama alilotoa Dr. Kitila Mkumbo! Ingawaje movement kwenye Category hii inaweza kuwa from One Grade to another (say from Div II to Div I, or From Div I ya kawaida to Div I pt 7) bado net effect itakuwa insignificant coz' hii population ndogo itakuwa imemezwa na population kubwa iliyopata Div IV na ZERO na hivyo hapawezi kuonekana tofauti kubwa! Hoja hii ya mwisho, ndiyo inayojibu sababu ya pili ya kwanini hapaonekani tofauti kubwa system hiyo inapojaribiwa kwenye matokeo ya miaka ya nyuma!
Summary ya yote hayo ni kwamba, ikiwa utachanganya wote kwenye kapu moja kisha ukataka kutafuta tofauti, hakika hutaiona na kama utaiona basi itakuwa ndogo! Lakini kama utaamua kufanya case to case basis, lazima tofauti itaonekana!
Ni matumaini yangu kwamba nimeeleweka!
Last edited by a moderator: