Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,921
- 2,799
siku nilipojua kuwa Mponda ni kihiyo ni pale wakati anasoma makadirio ya bajeti ya wizara yake alipokuwa akitamka CCRBT badala ya CCBRT. na alirudia hivyo zaidi ya mara tatu. Hansard shaidi yangu