Niconqx
Member
- Jun 7, 2009
- 61
- 18
Hofu yangu naogopa pale mwananchi wa kawaida anaposhindwa kuishi inavyostahili kwa kupata huduma muhimu,hapa hata subiri kauli ya KUOMBA au KUTAKIWA.Kitakachofuata ni kutafuta mbinu za kupata huduma anavyojua mwenyewe bila kufuata sheria.hapo patakuwa pagumu sana kwa watanzania wa kawaida.hima tutafute suluhisho mapema