Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Kwavile busara ni adimu huyu mkweree hatawaondoa hao mawaziri; matokeo yake madaktari watagoma tena na wananchi wengi kupoteza maisha tena na yeye kwenda kuhudhuria mazishi!! Hiyo ndio busara ya Vasco!!
Nadhani yeye anadhani wanavyokufa ni kura za cdm anapunguza kumbe ndo anajipalia makaa