TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
Kwa hali ilivyo sasa inabidi JK achukue maamuzi magumu, vinginevyo akiwafukuza mawaziri kwa shinikizo la ma-Dr, ataendelea kupata mashinikizo kama haya kila wakati na kutoka nyanja tofauti.
Uamuzi mgumu ni; iwapo watagoma, awape ultimatum, wakipuuza awapige chini wote. Kisha atangaze nafasi za kazi za udaktari - dunia nzima iruhusiwe ku-apply kwa mkataba wa miaka miwili. Fedha za dharura (kama inavyokuwa wakati wa hali ya hatari) zitatumika kuwalipa hadi mawaziri wazalendo watakapopatikana kwa malipo ya kawaida. Wale waliofukuzwa wanaweza kuomba kurejeshwa kazini na watarejeshwa baada ya kukubaliana na masharti yatakayowekwa.
wataomba kazi, na watagoma tena.... it can be done, mwambie ajaribu