Imenisikitisha sana niliposikia tamko la madaktari kupitia ITV habari mpasuka kuwa wataendelea na mgomo ikiwa wabaya wao Dr Haji Mponda na Dr Nkya wataendelea kuwepo wizara ya afya kama mawaziri, kwa mjibu wa ITV, madaktari hao wameipa Serikali siku nne hadi Jumatano ijayo saa 2;00 asbh iwe imewaondoa wabaya wao lasivyo mgomo utaendelea.
Kwa kauli hii ya madaktari namuomba JAKAYA atumie busara kuchagua kuendelea kumkubatia huyo waziri na naibu wake na watanzania wasio na hatia waendelee kufa kwa vifo visivyo vya lazima ama awatimue ili kuondokana na janga hilo.
Kwa kauli hii ya madaktari namuomba JAKAYA atumie busara kuchagua kuendelea kumkubatia huyo waziri na naibu wake na watanzania wasio na hatia waendelee kufa kwa vifo visivyo vya lazima ama awatimue ili kuondokana na janga hilo.