Nakama vijana hao wakileta chakula nyumbani halafu wazee wachache walafi wakakila chakula hicho chote bila kuwapatia watoto, je walihemea chakula hicho wafanye nini?mkweche binafsi nimekuelewa.......kwa sisi walimu.....mwalimu aliwahi kusema..
"WALE WALIOPATA FURSA YA KUPATA ELIMU KATIKA JMT, NI SAWA NA KIJIJI CHENYE NJAA AMBACHO KINAAMUA KUTOA AKIBA YA CHAKULA KUWAPA VIJANA WENYE NGUVU ILI WAKAHEMEE MBALI.....VIJANA WALE WANATAKIWA KUHEMEA NA KULETA CHAKULA NYUMBANI........WASIPOFANYA HIVYO NI WASALITI"
Unfortunately Tanzania ya leo siyo ile ya Nyerere. Wakati wa Nyerere tulikuwa tunajua mishahara ya wafanyakazi wote wa serikali, na hata mshahara wa Nyerere mwenyewe ulikuwa unajulikana. Kuna wakati mshahara wa Nyerere ulikuwa ni Sh 2,500 wakati ule wa kima cha chini ukiwa ni Sh 380, halafu madakatri wakiwa wanalipwa Shs 1800, na medical assistants wakilipwa Sh 1300. Engineering graduates wakiwa wanalipwa Sh 1650.
POLE!Kama Umeona Madai ya Madaktari ni Makubwa Kuliko Uhai Wa Ndugu yako Sikuwezi!Na siku zote Ujinga wa Watanzani ndio Mtaji wa Wajanja!
POLE SANA!Tatizo Mlio wengi Mnaelewa Mambo juu!Kusomesha "Dokita"moja si chini ya 25Million!Vyuo Vya Ngazi zote, Mahospitali nk Wananchi wanachangia tu hawalipi!Katika Budget za Taasisi nilizotaja Mapato kutokana na Ada au Malipo mbalimbali hayafiki 10% wanachi tunaendesha vyuo vile kwa njia ya KODI!
Ulafiwa Wa fedha na kupenda Ufahari wa wanasiasa,wasomi na watanzania ni Matokeo ya KUUBEZA UJAMAA!Asili ya Watanzania ni Ujamaa!Ubepari Tumechemsha
Narudia tena Pole
Badili fan usome dk ili ujitolee jinga ww
Tatizo wengine Hamjui kinachoendelea mahospitalini!Ungekuwa na Akili ndefu Ungepigania Uhai Kwanza na si Posho!Ufupi wa akili yako umepelekea ww kuandika pumba hizi, au na ww unaendaga india au sa au uk?
Kumbe jitu lenyewe ni mkweche hata habari yenyewe sisomiMie Mkweche kwa upande wangu siungagi Mkono Migomo ya Madaktari ...
kama hoja zako ndio hizi hapana shaka wewe ndio huna akili majinuni bin hayawani bin taahira. inaonekana hata hujui kuwa madr ni sehemu ya serikali. kumbafu kabisa.Safi sana hii!
Wanaolaani madaktari wote hawana akili.
Hakuna mtu mwenye mkataba na daktari, ya kwamba atamtibu ht km anapunjwa malipo.
Wananchi wana mkataba na serikali, ndo inapaswa kuwapa hizo huduma za afya.
Km hazipo, iulizeni serikali, madaktari ni waajiriwa tu, wenye haki ya kugoma na kupigania maslahi na hadhi yao.
Ilazimisheni serikali iwatimizie madai yao.
Km mnaona serikali haitaweza fanya hayo kwa madaktari pungufu ya 2000 waliopo serikalini, lkn inaweza kuongeza posho maradufu na kukopesha magari kwa madiwani zaid ya 4000, basi nanyi ni sehemu ya tatizo, mnapaswa kukaa kimya na kufa taratibu tu, bila kelele.
....Katika hotuba ya Hayati Mwl.Nyerere kule University of Liberia,Monrovia,29,feb,1969"The Intellectual Needs Society"
Kibwagizo cha Kukikumbuka ni"Without the Society to be served,Intellectualism is meaningless and hollow.Intellectuals should put SERVICE FIRST and SELF SECOND,and be Modest and Practical"
Inapotokea madaktari wanagoma kuiweka mbele na kuihudumia jamii iliowahangaikia na kujiweka mbele wao,majibu yatapatikana hapa hapa duniani!...
POLE SANA!Tatizo Mlio wengi Mnaelewa Mambo juu!Kusomesha "Dokita"moja si chini ya 25Million!Vyuo Vya Ngazi zote, Mahospitali nk Wananchi wanachangia tu hawalipi!Katika Budget za Taasisi nilizotaja Mapato kutokana na Ada au Malipo mbalimbali hayafiki 10% wanachi tunaendesha vyuo vile kwa njia ya KODI!
Ulafiwa Wa fedha na kupenda Ufahari wa wanasiasa,wasomi na watanzania ni Matokeo ya KUUBEZA UJAMAA!Asili ya Watanzania ni Ujamaa!Ubepari Tumechemsha
Narudia tena Pole
Mie ni Mkweche Tayari!Kwa Fani yangu inanitosha!Kwa Taarifa yako mie Matatizo ya madaktari na sekta ya afya nayajua kulilo wewe Zumbu kuku!Na kwa nafasi yangu Hospitali ninayofanyia nimeshiriki kuyatatua
ILA HAKUNA TATIZO KUBWA KAMA KUACHA WAGONJWA WAFE TENA WAKIWA HOSPITALI!
Kinyesi wewe
Mkuu sijui unaongelea nini. Dai kuu la madaktari ni kuwezeshwa kuwasaidia wagonjwa vizuri zaidi, mishahara ni moja ya tu ya hilo, si dai kuu. Ukiangalia utaona kuwa viongozi wetu ni wabinafsi zaidi kuliko madaktari, wao wakiumwa macho, mafua, tumbo wanakwenda kutibiwa Ulaya, lakini Muhimbili hata CT Scan mgogoro, dawa ndio kabisa. Kwa hiyo tunapozungumzia uzalendo tuanze na hawa wa juu, sio wa chini. And the fact is huwezi kuwa mkatoliki kuliko Papa, au huwezi kuwa mwislamu kuliko yule wa Mecca na Medina.Mie Mkweche kwa upande wangu .......Mie ni Mkweche jamani
Hakuna serikali duniani inayoeza kukidhi whimsical madai ya kila employee, it is common sense. Sasa kama haiezi kuwalipa locals madai yao it is also logical haiezi kuwalipa experts, achilia mbali suala la availability yao. Sasa kama unaona wanachelewa kulipa walipe wewe basi.Wewe utakuwa Mwigulu au Profesa maji marefu ndiyo wenye maakili ya kipuuzi, hujui hata nani ana wajibu wa kutibu wananchi. Siyo lazima serikali itumie madaktari wa Tanzania inaweza kuleta kutoka nje ya nchi ilimradi watu wake wapate huduma ya afya. Sasa wewe kwa ufupi wa fikra zako unabwatuka tu au unaishi kwa posho za MAGAMBA kuwa na fikra pevu nyinyi ndiyo mnasababisha nchi haiendelei kwa sababu hujui serikali inayochukua kodi ya mwananchi ina wajibika kufanya nini kwa mwananchi wake kama ukusoma shule mbona kuna elimu ya gumbaru nenda kasome.
Mbinu ni ileile tu ya kutumia turufu ya wananchi / wagonjwa / uhai.Mkuu sijui unaongelea nini. Dai kuu la madaktari ni kuwezeshwa kuwasaidia wagonjwa vizuri zaidi, mishahara ni moja ya tu ya hilo, si dai kuu. Ukiangalia utaona kuwa viongozi wetu ni wabinafsi zaidi kuliko madaktari, wao wakiumwa macho, mafua, tumbo wanakwenda kutibiwa Ulaya, lakini Muhimbili hata CT Scan mgogoro, dawa ndio kabisa. Kwa hiyo tunapozungumzia uzalendo tuanze na hawa wa juu, sio wa chini. And the fact is huwezi kuwa mkatoliki kuliko Papa, au huwezi kuwa mwislamu kuliko yule wa Mecca na Medina.
Viongozi wanatutumia sisi kutuibia, wanatuibia kwa kisingizio cha 'kwa ajili ya wananchi'.
Kusomea udakitari siyo sawa na kwenda kenye choo cha public ambako kila mtu anaweza kuingia. Iwako kazi inayofanywa hata na akina Lusinde inalipwa shilingi milioni 10 au iwapo serikali yetu iko tayari kuita madakatari kutoka nje kwa kuwalipa hela nyingi lakini haitaki kuwalipa madakatari wetu ipsavayo basi ni lazima tujue kuwa serikali yetu haijui vipaumbele vyake. Kuwasomesha madakatri hao siyo kuwa walifanyiwa feva, bali wao ndio waliokuwa wanaweza kusomea kozi hiyo.POLE SANA!Tatizo Mlio wengi Mnaelewa Mambo juu!Kusomesha "Dokita"moja si chini ya 25Million!Vyuo Vya Ngazi zote, Mahospitali nk Wananchi wanachangia tu hawalipi!Katika Budget za Taasisi nilizotaja Mapato kutokana na Ada au Malipo mbalimbali hayafiki 10% wanachi tunaendesha vyuo vile kwa njia ya KODI!
Ulafiwa Wa fedha na kupenda Ufahari wa wanasiasa,wasomi na watanzania ni Matokeo ya KUUBEZA UJAMAA!Asili ya Watanzania ni Ujamaa!Ubepari Tumechemsha
Narudia tena Pole