MKWECHE
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 299
- 64
Mie Mkweche kwa upande wangu siungagi Mkono Migomo ya Madaktari na watu wengine wa Sekta ya Afya.Migomo nisiyoipenda ni ile ya kukataa kuhudumia wagonjwa ili WAFE kwa kukosa tiba!Kama kunamtu anaeunga mkono wa namna hii ya kuacha wagonjwa wafe wakiwa Tayari ndani ya Hospitali basi,siyo bure huyo mtu atakuwa na lake Jambo!
Mie Mkweche utaniambia nini juu ya Hospitali za TZ!Nna miaka 7 sasa nafanya kazi kwenye hospitali!Hakuna wanachokidai wa wachozungumzia Madaktari kama mapungufu ktk sekta ya afya nisichokijua!
Katika madai yao Yote Hakuna kitu KIKUUBWA Unatakachokifananisha na UHAI wa Binadamu!
Sie wasomi(Kah!Mkweche nae msomi si ana Masterz)Madaktari na Mkweche,Tumesomeshwa na Kodi na Jasho la Watu Mafukara wa watanzania,Kwa Lengo la Kwamba turudishae fadhila za Kuwapa huduma bora za Afya na kubadilisha hali zao za maisha ili siku moja mafurahie matunda ya uhuru!
Katika hotuba ya Hayati Mwl.Nyerere kule University of Liberia,Monrovia,29,feb,1969"The Intellectual Needs Society"
Kibwagizo cha Kukikumbuka ni"Without the Society to be served,Intellectualism is meaningless and hollow.Intellectuals should put SERVICE FIRST and SELF SECOND,and be Modest and Practical"
Inapotokea madaktari wanagoma kuiweka mbele na kuihudumia jamii iliowahangaikia na kujiweka mbele wao,majibu yatapatikana hapa hapa duniani!
Madaktari Hawajaigomea SERIKALI BALI WAMEGOMA Kutibu wagojwa!Hospitali zote wanazofanyia madaktari waliogama ni nadra sana kukuta Kigogo anitibiwa wateja wao ni jamii ya watanzania!Aibu yao waliogoma
Dr.Ulimboka hakutendewa haki hata kidogo kwa kupigwa na kutekwa kwake!Ila nae hakufanya Busara kuongoza Mgomo ambao,Majibu ya Madai yake Yanategemea Roho za wanajamii!
Asiejali MAISHA NA UHAI WA MWENZAKE si Mzalendo na Kamwe hatekelezi mapango wa Mungu!
Mkweche nakiri Madawa,vifaa Tiba,Vitendanishi ni Tatizo kubwa sana mahospitali,Laukama Madokita na wahudumu wengine wa Afya wanamiliki maduka na ma-hospitali ambayo yananeemeka na Uzembe wa Serikali katika kukabiliana na tatizo la dawa na Mahitaji mbalimbali!Sipendi Mgomo kwa Sababu Mwisho wa Siku Anaekufa ni Mnyonge wa Tz!Hata mukiongezewa Ma Call na mazagazaga mengine Je Machungu ya Wajane na Mayatima Mtayapooza!
Mie ni Mkweche jamani
Mie Mkweche utaniambia nini juu ya Hospitali za TZ!Nna miaka 7 sasa nafanya kazi kwenye hospitali!Hakuna wanachokidai wa wachozungumzia Madaktari kama mapungufu ktk sekta ya afya nisichokijua!
Katika madai yao Yote Hakuna kitu KIKUUBWA Unatakachokifananisha na UHAI wa Binadamu!
Sie wasomi(Kah!Mkweche nae msomi si ana Masterz)Madaktari na Mkweche,Tumesomeshwa na Kodi na Jasho la Watu Mafukara wa watanzania,Kwa Lengo la Kwamba turudishae fadhila za Kuwapa huduma bora za Afya na kubadilisha hali zao za maisha ili siku moja mafurahie matunda ya uhuru!
Katika hotuba ya Hayati Mwl.Nyerere kule University of Liberia,Monrovia,29,feb,1969"The Intellectual Needs Society"
Kibwagizo cha Kukikumbuka ni"Without the Society to be served,Intellectualism is meaningless and hollow.Intellectuals should put SERVICE FIRST and SELF SECOND,and be Modest and Practical"
Inapotokea madaktari wanagoma kuiweka mbele na kuihudumia jamii iliowahangaikia na kujiweka mbele wao,majibu yatapatikana hapa hapa duniani!
Madaktari Hawajaigomea SERIKALI BALI WAMEGOMA Kutibu wagojwa!Hospitali zote wanazofanyia madaktari waliogama ni nadra sana kukuta Kigogo anitibiwa wateja wao ni jamii ya watanzania!Aibu yao waliogoma
Dr.Ulimboka hakutendewa haki hata kidogo kwa kupigwa na kutekwa kwake!Ila nae hakufanya Busara kuongoza Mgomo ambao,Majibu ya Madai yake Yanategemea Roho za wanajamii!
Asiejali MAISHA NA UHAI WA MWENZAKE si Mzalendo na Kamwe hatekelezi mapango wa Mungu!
Mkweche nakiri Madawa,vifaa Tiba,Vitendanishi ni Tatizo kubwa sana mahospitali,Laukama Madokita na wahudumu wengine wa Afya wanamiliki maduka na ma-hospitali ambayo yananeemeka na Uzembe wa Serikali katika kukabiliana na tatizo la dawa na Mahitaji mbalimbali!Sipendi Mgomo kwa Sababu Mwisho wa Siku Anaekufa ni Mnyonge wa Tz!Hata mukiongezewa Ma Call na mazagazaga mengine Je Machungu ya Wajane na Mayatima Mtayapooza!
Mie ni Mkweche jamani