Madai ya mishahara hayakufanywa kisyansi Kwani ilitakiwa kiwango wanachotaka kiendane na Hali halisi ya Uchumi aw Nchi na siyo kukurupuka tu na kiasi. Hili linatia mashaka kwa wasomi Kama wao. Hata babu aw loliondo inaonekana kiwango cha bei ya dawa yake kilizingatia utz na utu kuliko hawa ndugu zetu wasomi