ziehl neelsen
Member
- Jun 7, 2014
- 44
- 7
Una evidence na ukisemacho au unasema tu!!!!!!
Ata mm namunga mkono kuna madogo mwaka jana wamechukuliwa medical lab kibao kwa d2
Una evidence na ukisemacho au unasema tu!!!!!!
jamaa alichosema ndivyo ilivyo gov & priv kama huna hizo sifa kwa sasa wala usipoteze muda wako tena vyuo vya govnt wanataka ziwe kwenye wastan wa 28 mimi ni mdau
wadau msaada naomba kujua vyuo vya afya vya diploma vya serikali
Vyuo vya serikali kwa sasa nadhani hakuna nafasi.changamkia vya binafsi
Una evidence na ukisemacho au unasema tu!!!!!!
jamani mm nna three ya 23 phy-d,chem-c,bios-c,b/maths-c,geo-d, na zngine n D tu mm npo dar nnafanya kaz jeshin naomben msaada mnitajie vyuo vya afya vilivyo dar private/gvment ada ntamudu tu kma dipl/cert ntaanzaa tu mnisaidie jama