Mada maalum: Mchakato wa udahili vyuo vya afya

Wakuu...naomba kuuliza kama kuna chuo cha Clinical Officer mkoani Mbeya au Iringa...Binafsi nimeulizia nimeshindwa kupata jibu.Nishaapply vyuo vtatu vya serikali mtandaoni,lakin idad ya waombaji ni kubwa na ninapata waswas wa kuchaguliwa...Naomben msaada wenu..
Ahsanten!!

(Nina B+ ktk Chem,Phys na Bios)
 
Jamani nimemaliza f4 mwaka 2013 nimepata div 1 ya 15 nilianza a level mosh technical PCB mwaka jana july ila ilipofika October niliumwa nikashindwa kuendelea mwaka huu nataka ni apply C.O clinical officer KCMC au Machame hospital ila sijui process zao naomben msaada wenu wapendwa. Nina B+ ya (chemia. Bios. Maths) B flat ya physics na English+literature Nina A. Nina C mbili ya History na Geog

kama upo karibu na hivyo vyuo nenda ukachukue form kama upo mbal ingia nacte.go.tz then central admission system ufuate maelekezo
 
Wadau Na Mimi Nina PHYSICS 'C
BIOLOGY 'C
CHEMISTRY 'D
ENGLISH 'B
Naweza Soma Diploma Ya Clinical Medicine, Clinical Officer Au Nursing?
Mwisho;
Ni Chuo Gani Kina Ada Nafuu Kwa Vyuo Vya Afya Vya Private?
Nashukuru.

Clinical officer ndo clinical medicine kwa upande wa ada clinical officer ni gharama kuliko nursing nenda mikoani kidogo kuna unafuu
 
Jamani nimemaliza f4 mwaka 2013 nimepata div 1 ya 15 nilianza a level mosh technical PCB mwaka jana july ila ilipofika October niliumwa nikashindwa kuendelea mwaka huu nataka ni apply C.O clinical officer KCMC au Machameomba utapa hospital ila sijui process zao naomben msaada wenu wapendwa. Nina B+ ya (chemia. Bios. Maths) B flat ya physics na English+literature Nina A. Nina C mbili ya History na Geog
Omba kijana kwa maksi zako utapata,vip mama malisa bado anafundisha biology moshi tech?
 
Jamani naombeni mnisaidie kujua vyuo vya afya hapa Tanzania kwasababu nataka kujiunga na chuo chochote cha afya sector ya clinical officer nina matokeo ya form four....nimepata four.26 .
division four kupata clinical officer ni vigumu,umepataje kwenye physics,chemistry na biology?
 
Sikukatishi tamaa, lakini kwa vyuo vya gvt ni ngumu labda wende private.
Mimi binafsi nina c kwa masomo yote ya sayans niliomba mwaka uliopita nikakosa. Kuna mwenzangu alikua na kama mimi ila alinizid kwa kuwa na B ya biology aliekwa reserve mpk keshaenda private ndo anapigiwa simu aende
Wanaoomba gvt wanakua weng na kunakua na competition kubwa
Taarifa zako ni za kweli,nathibitisha hilo
 
Minimum qualification ni D katika Chemistry, Phyisics, Biology. Iwapo utasoma chuo cha private na wakakubali kukusomesha ukewa na F katika moja ya masomo hayo tatizo litakuja katika kuajiriowa hasa serikalini.
kijana unadanganya wenzako.
 
Jf' ina watu watu vituko sana mdogo wangu vumilia matusi hayaruhusiwi najua umekurupuka haujasoma jf' rules, usitukane utapigwa Ban halafu hata shida yako haijatimia.
Kwa matokeo uliyonayo clinical officer ngazi ya cheti private au government unachaguliwa bila wasiwasi we omba kwote kisha ungojee majibu.
Si uhakika kwamba mtu aliyemaliza four 4 anaweza jiunga na chuo kusoma diploma sijawahi ila ufahamu wangu unaonyesha lazima upitie cheti then kwa cheti unarukia diploma na hata degree. Diploma wanaenda four 6 directly wakiwa qualification za kuingia huko.
Karibu jf'
Tanzania hakuna certificate ya clinical officer
 
Tanzania hakuna certificate ya clinical officer

Huwa Hakuna Lakini Wanaosoma Hiyo Wanaitwa
Assistant Clinical Office
Hawa Ndiyo Ngazi Ya Cheti Japo Haitambuliwi Hivyo

Na Aliyemaliza Kidato Cha Sita Anaitwa
Clinical Office
Yaani Anasoma Diploma
 
Huwa Hakuna Lakini Wanaosoma Hiyo Wanaitwa
Assistant Clinical Office
Hawa Ndiyo Ngazi Ya Cheti Japo Haitambuliwi Hivyo

Na Aliyemaliza Kidato Cha Sita Anaitwa
Clinical Office
Yaani Anasoma Diploma
Ndugu certificate ni clinical assistant na diploma ndio clinical officer,kwenda diploma sio lazima uwr form six.
 
habar wana jf kuna dogo kamaliza mwaka jana na akapata c ya biology vp anaweza naye jiunga na chuo cha afya ushaur wadau
 
LIST IPO CHINI
Baada ya kuona kuna mkanganyiko mkubwa, nimeamua kuwaelewesha wenzangu wanaotaka kusomea mambo ya nursing kwa kozi yoyote ile.
1. CERTIFICATE(Ngazi ya cheti)
Mwombaji awe na D TATU ktk masomo ya sayansi PCB(Physics, Chemistry na Biology)
Hii inajumuisha vyuo vya serikali na binafs(Private)
Km huna sifa hizo USIJARIBU ktk chuo chochote kwan utapotezewa muda

2. DIPLOMA (Stashahada)
Km ni form 4, uwe na C ktk BC(Bios na Chemistry) na D au zaid ya Physics.

NB
Sifa zote za ufaulu ziwe ktk kikao kimoja cha mtihani.
Naamini sasa wale wanaouliza watakuwa na majibu sahihi!
Mungu akipenda nitaweka baadhi ya vyuo vya afya vipatavyo 30 ili kwa wale wenye sifa wachague.
NAWASILISHA!

Nina C-4 na D-4 pia nina cheti kilimo hapa naweza omba diploma? vipi mda wa koz ni miaka mingapi?
 
Achana nae mkuu haelewi kitu huyo anatia ya kwake.In fact aliyeanalyse yuko sahihi na huo ndo ukweli hakuna vigezo vingine. certificate ni D ktk masomo 3 yote ya sayansi na diploma angalao C kwa biology na chem,lakn phys/maths hata akiwa na D ni sawa hakuna cha CO wala pharmacy,nursing,dental,tech wote vigezo sawa.

Hivi kati ya course ya CO,pharmacy na Laboratory?Ipi ina manufaa ??
 
Hivi kati ya course ya CO,pharmacy na Laboratory?Ipi ina manufaa ??

Zote nzuri Ila kwa level ya diploma pharmacy na lab ni nzur zaidi kijasiriamali na hazichagui mazingira kokote unapagiwa kazi, iwe mjini au kijijini! Ila CO Mara nyingi ni kijijini tu na mjini kidogo, kwa level ya Degree CO ni nzuri kuliko zingine zote kama una lengo la kua Doctor.
 
Back
Top Bottom