MALAGASHIMBA
Member
- Dec 7, 2011
- 71
- 8
Mnaoelewa msaidien mdogo wetu,kajitaidi.Pia mmuelekeze hivo vyuo vya private na Government kwa majina ikiwezekana na mahali vilipo.
Ka reset mtihani hayo matokeo yako hayafai kumchoma mtu sindano..!!!Labda ng'ombe. Au kasukume chaki Ngumbaru..angghrrr eti Afya...nani kakudanganya,??? Mimi nilianza na Diploma lakin sikucheza miaka minne darasani na kutoka na hicho kiwango chako. Unaaibisha fani yangu.!!!:embarassed2:
Pumbavu ww! Huna lolote mjinga wewe tena mjinga sana yawezakuwa ktk ukoo wenu ww ndopeke yako unaelimu kuzidi wenzako,na ntakutafuta nyau ww hadi nikupate nandoutanieleza vizuri.dah dogo umenikera sana ---- ww yani natamani nikushike nitoe haya majivuno yako maskini wewe.
uaPrivate ada laki 5 day ..Bording pamoja na chakula ni 1.2M
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Sasa nitakusaidiaje wakati ukielekezwa kwamba huko siko unakuja juu,njoo basi nipo hapa,soma basi ID yangu hapo pembeni. WAKURDI...Unajua ni wapi hapo???!! ukitaka nitakuinbox usipate shida kunitafuta. Mi mjinga sawa,kila tusi nipe usijali lakin kaukweli sinabudi kukugaia angalao,maana hata huko kwenye clinical officer kuna kufeli pia sio slope best. Kaza buti ndugu. SAWA TAJIRI YANGUU!!??Pumbavu ww! Huna lolote mjinga wewe tena mjinga sana yawezakuwa ktk ukoo wenu ww ndopeke yako unaelimu kuzidi wenzako,na ntakutafuta nyau ww hadi nikupate nandoutanieleza vizuri.dah dogo umenikera sana ---- ww yani natamani nikushike nitoe haya majivuno yako maskini wewe.
Sasa nitakusaidiaje wakati ukielekezwa kwamba huko siko unakuja juu,njoo basi nipo hapa,soma basi ID yangu hapo pembeni. WAKURDI...Unajua ni wapi hapo???!! ukitaka nitakuinbox usipate shida kunitafuta. Mi mjinga sawa,kila tusi nipe usijali lakin kaukweli sinabudi kukugaia angalao,maana hata huko kwenye clinical officer kuna kufeli pia sio slope best. Kaza buti ndugu. SAWA TAJIRI YANGUU!!??
Jamani naombeni mnisaidie kujua vyuo vya afya hapa tanzania kwasababu nataka kujiunga na chuo chochote cha afya sector ya clinical officer nina matokeo ya form four....nimepata four.26 .
mkuu na wewe weka matokeo yako so unajifanya kuongea na wakati na we n walewale!!!ka reset mtihani hayo matokeo yako hayafai kumchoma mtu sindano..!!!labda ng'ombe. Au kasukume chaki ngumbaru..angghrrr eti afya...nani kakudanganya,??? Mimi nilianza na diploma lakin sikucheza miaka minne darasani na kutoka na hicho kiwango chako. Unaaibisha fani yangu.!!!:embarassed2:
mkuu kama mtu ana div 4 point 26 lakini bios c chem c na phy d english d na math f anaweza omba diploma ya clinical medicine kwa vyuo vya private
Cjajua km ni swali au ni maelezo. n y, km ni swali jibu ni NDIYO kwani criteria ni masomo ya sayansi!