Paschal William
Chuo kizuri ni vile vinavyotoa elimu bora utakuta chuo kina majengo mazuri kumbe elimu wanayotoa ni ya ubabaishaji
dogo we mjanja ,ukifaulu 2 we chagua dip ya afya, mi mwenzio nimemaliza mwaka 4m4jana nw nipo chuo napiga dip ya optometry
Usisahau kuomba na vile vyuo vya afya vya serikali.Uwe unafatilia website ya wizara ya afya kwa update
Hilo ni wazo zuri sana kijana.Sio kukimbilia uinjinia tu na kozi nyingine,afu ukimaliza unaanza kujutia
tembelea: www.tihest.org
Siku hizi ukitaka kununua simu haulizi simu gani nzuri ninunue unangalia kwanza ww una shi ngapi na unataka cm ako iwe na,nn afu ndo unatoka kwenda dukani kununua unaeza tafuta simu nzuri kuliko zote kumbe pesa ako haitoshi.....kama pesa ako inakulusu cm ya 20,000 usiende kulizia cm ya 100,000
aiseee babauangu mi sijakuelewa unataka chuo kizuri cha afya ya binadamu au afya ya mifugo na kadhalika