Amon Mtekateka
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 1,225
- 333
Sio afya tu na wale wanaotaka kupiga law
uwe umepasua language vilevile na D3 za masomo mengne, ukapige certificate
uwe umepasua language vilevile na D3 za masomo mengne, ukapige certificate
Zote nzuri Ila kwa level ya diploma pharmacy na lab ni nzur zaidi kijasiriamali na hazichagui mazingira kokote unapagiwa kazi, iwe mjini au kijijini! Ila CO Mara nyingi ni kijijini tu na mjini kidogo, kwa level ya Degree CO ni nzuri kuliko zingine zote kama una lengo la kua Doctor.
Mwanangu amechaguliwa kwenda tosamaganga kwa Ngazi ya cheti lkn bado sijapata join instaction wala sina contact za chuo , kwa yeyote anaejua anisaidie tafadhali sana !
Namba yangu ya simu ni 0658131333.asanteni wadau
Mkuu kibaha cotc nilazima kukaa hostel au sio lazima pia wana uni form au awana asanteKuna chuo cha clinical officers pale kibaha (COTC) Ni kizuri sana kuanzia mazingra ya kujisomea na kila kitu ,ila kinatoa certificate na diploma.