mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
Mh!Umetaja kazi tu hapo,inaonekana unamtazama mkeo kama mashine ya kukufanyia kazi na sio mke,ndo maana unamkumbuka kwaajili ya kazi na sio mapenzi na upendo.Hata kwenye kufunga umemkumb kwenye kukupikia futari. . . .
umemshtukia eh!! mama mwenyewe alishtukia kua anafanyishwa uhouse girl na kaondoka na watoto kamuachia