BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
mkeo akiumwa akalazwa hospitali utabeba watoto umpelekee hospitali, no wonder mkeo kala kona...
usikute hata mtoto akilia unamuita mama yake ambembeleze.........
usikute hata mtoto akilia unamuita mama yake ambembeleze.........
Hapa sitopata ushauri wa kuufanyia kazi. Nabeba watoto nampekea kule aliko sasa hivi. Ndo nlichowaza mimi. Naimani anaweza akaamua kurudi nkifanya hivyo. Ngoja nijiandae waungwana. Usiku mwema.