Mnapoeza muda wa watu kufanya kazi. Watu wanataka barabara, hospitali, shule bora n.k. Hawataki maandamano.
Acheni uzushi, kahamasisheni shughuli za maendeleo.
Viajenda vya kuchupia chupia na kuleta fujo tu, mara hii mnachokitegemea kitokee Mwanza, kama kule Arusha, hakitatokea, labda mkitafute wenyewe, hakuna wa kuwaopoweni, mtapiga makelele mchana na usiku mtatafuta vitanda mlale!
Sasa hiyo itakuwa definition ya CCM au Mafisadi au wote kwa pamoja!vipi yakiitwa maandamano inakuwa kama msumari unaochoma kotekote!pole sana !!
CDM mnatumia vibaya KODI zetu...saa nane ni saa ya watu kuwa makazini kutafuta riski.
Inapendeza miji mzima ni vidole viwili tu.
Nyie CCM hata hotuba tu mnaandamana eti kuunga mkono inawasaidia nini mbona huwa hamsemi ni matembezi ya kuunga mkono hotuba.
Hao vibwengo ni kuachana nao wala mhihangaike kujibizana nao! Pipoz pouwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hamjawahi kuhamasisha hata ujenzi wa shule ya kata, kazi yenu kuandaa maandamano tu. Huo ni unafiki wa kisiasa, hamna moyo wa kweli wa kuleta maendeleo Tanzania.
Fedha ingewasaidia sana wahanga wa hayo mabomu kuliko kutumika kwenye maandamano, taifa kwanza
Kama kuna anayeweza kunitajia kitu kimoja kilichopatikana kwa chama fulani cha siasa Tanzania kwa njia ya maandamano aweke hapa. Kila siku mnaandamana na kutoa hotuba zisizo na tija halafu jioni mnarudi nyumbani. Mantiki yake nini sasa?
Hivi huwa mnakaa na kuevaluate mafanikio yanayopatikana kutokana na hayo maandamano?
Hao vibwengo ni kuachana nao wala mhihangaike kujibizana nao! Pipoz pouwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hao vibwengo ni kuachana nao wala mhihangaike kujibizana nao! Pipoz pouwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa