Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Baada ya wanaharakati kuwekwa ndani, wamejitokeza vijana wengine wenye nguvu na utashi kuongoza maandamano hayo, kikosi hicho kinaongozwa na kijana machachari ambaye amejipa jina la ALSHABAAB kijana huyo amesikika akisema "maboko na mkandala kama mnataka kufukuza wanafunzi, mnifukuze mimi kwanza.
mimi Alshabaab niko tiyari kufukuzwa, niko tiyari kufungwa Ikibidi kufa nikiwatetea wenzangu walioko maabusu" kijana huyo amesikika akisema. Kijana huyo inasemekana anatafutwa na polisi kwa kujiita Alshabaab. Hadi sasa hali ni mbaya, polisi walivamia na kutawanya wanafunzi, maeneo yote ya chakula yamefungwa na masomo hakuna.
mimi Alshabaab niko tiyari kufukuzwa, niko tiyari kufungwa Ikibidi kufa nikiwatetea wenzangu walioko maabusu" kijana huyo amesikika akisema. Kijana huyo inasemekana anatafutwa na polisi kwa kujiita Alshabaab. Hadi sasa hali ni mbaya, polisi walivamia na kutawanya wanafunzi, maeneo yote ya chakula yamefungwa na masomo hakuna.