Maandamano UDSM sasa yaongozwa na 'AL-SHABAAB'?

Huyu mzee tutamkumbuka sana!!
mail
 
Utoto unashida sana. Jamani tuwafunze hawa wenetu na wadogo zetu. Hawajui walifanyalo

jana nilikupa faaida za maandamano, nilikurejesha mwaka 2006/2007 mpaka 2008/2009, sikuona ukicoment. Maandamano ndiyo yamekuwa mwarobaini japokuwa kuna baadhi inawagharimu. kwa mwa
 
Huu ndo uwezo wako? unataka kuniambia wanafunzi wote wa UDSM ni wenetu na wadogo zetu? Ikitokea kesho na kesho kutwa Rejao unaenda kupiga kozi fulani pale utaingia kwenye kundi la wenetu na wadogo zetu?
Kwa umri wangu siwezi tena kwenda kusoma pale kozi za kugombania %! tayari nimeshapita huko.
Sidhani na wala sijawahi kusikia watu wanaofanya Master's degree na phd wakigoma. Wanaogoma wengi ni watoto, wana akili za kitoto.
Mawazo yao pale loan board kuna mahela yao na ni kitendo tu cha kwenda kuzichukua.
 
huyo anayejiita Alshabab, asubil kinachomfuatia atasimulia hadi wajuu zake..amekosa jna jngne la kujiita la watu wanaharakati?? Mbona meng sn na walikuwepo na bdo wapo...

woga ni adui wa haki!nadhani sio busara kutumia nguvu hali tatizo linajulikana, hao sio vichaa kuandamana, ni haki yao ya msingi!ipo siku ardhi hii hii itajib mateso na dhurama za seriklali wanazozifanya!tusibiri, its just a matter of time!
 
jana nilikupa faaida za maandamano, nilikurejesha mwaka 2006/2007 mpaka 2008/2009, sikuona ukicoment. Maandamano ndiyo yamekuwa mwarobaini japokuwa kuna baadhi inawagharimu. kwa mwa
Naona wewe hata hujui tofauti kati ya mgomo na maandamano. Hebu niambie hayo maandamano ya hiyo miaka uliyoitaja yalitokea wapi na yakaishia wapi?
 
Kwa umri wangu siwezi tena kwenda kusoma pale kozi za kugombania %! tayari nimeshapita huko.
Sidhani na wala sijawahi kusikia watu wanaofanya Master's degree na phd wakigoma. Wanaogoma wengi ni watoto, wana akili za kitoto.
Mawazo yao pale loan board kuna mahela yao na ni kitendo tu cha kwenda kuzichukua.

Kila tusi lililopo duniani linakufaa sana mzee.

Ni kiumbe gani ambaye ulisoma buru, tena enzi zile za kupewa hadi mkate na nyama, halafu leo wadogo zetu, watoto typical wa mkulima na mfanyakazi/mtumishi wa umma anayelipwa chini ya 300,000/= kwa mwezi wanaokosa melezi ya mwl. uliyoyapata, wanadai haki kama wewe ulivyoikwapua leo hii unawaona wahuni?

Kama iliwezekana enzi zenu wakati hata haujaanza kuchimba madini , kwani mwl. aliamua kuyahidhi kuliko kukaribisha wez wataochimba kwa kutuhasarisha, leo hii tunachimba madini kila kona ya nchi lakini raha ya kusoma uliyoipata wadaogo zako wasiipate, huoni kuwa wewe ni mbinafsi?

Mimi kwa mawazo yangu, nilitegemea nyie ambao mlisomeshwa vizuri, kuwa nyuma ya hawa watanzania wanaoambiwa hakuna bure itakuwa ni mikopo ,na mikopo yenyewe hawapewi, wanaishia kujiuza manzese na kwingineko, wewe ungewasaidia na kuwaokoa kwa kuwatetea serikalini
 
Naona wewe hata hujui tofauti kati ya mgomo na maandamano. Hebu niambie hayo maandamano ya hiyo miaka uliyoitaja yalitokea wapi na yakaishia wapi?

Yalitokea UDSM, tuligoma kuingia darasani, tuliandamana kuzunguka maeneo yote ya chuo, kuanzia UCLAS enzi zile, tukapita hall of residence zote, tukashuka COET, tukapanda Library na kuwachapa viboko walijihisi wao sio watanzania, tukaenda SCIENCE, tukachana mitihana ya dr mmoja aliyekuwa angawa test wakati siye tunaandamana, tukawachapa viboko wanafunzi waliokuwepo ndani ya chumba cha mtihani/test, tukaendelea hivyo kwa siku tatu, chuo kikafungwa kwa wiki tatu.

Tuliporejeshwa, faida zifuatazo tulizipata.
1. Madaraja ya cost sharing yalibadilika kwa wanafunzi wengi, japokuwa wengine walipewa mabaya zaidi. Hii ilikuwa ni baada ya kujaza fomu waliyoiita means testing results.
2. Mikopo ilianza kutolewa kwa wanafunzi wote waliopata udahili katika vyuo vikuu vya umma na binafsi, na vigezo vya div. kupata mikopo vilishuka kutoka div. 1 hadi three kwa baadhi ya bachelor program.
3. kwa kuwa walirekebishiwa wachache, 2007/2008 tuligoma na kuandamana, na hivyo kubadilishiwa madaraja kwa mwaka uliofuata.

Kwa faida hizi, bado naamini kuna umhimu wa kugoma na kuandamana vyuoni, hata mtaani ili kupata yaliyo madai yetu ya msingi
 
Baada ya wanaharakati kuwekwa ndani, wamejitokeza vijana wengine wenye nguvu na utashi kuongoza maandamano hayo, kikosi hicho kinaongozwa na kijana machachari ambaye amejipa jina la ALSHABAAB kijana huyo amesikika akisema "maboko na mkandala kama mnataka kufukuza wanafunzi, mnifukuze mimi kwanza.

mimi Alshabaab niko tiyari kufukuzwa, niko tiyari kufungwa Ikibidi kufa nikiwatetea wenzangu walioko maabusu" kijana huyo amesikika akisema. Kijana huyo inasemekana anatafutwa na polisi kwa kujiita Alshabaab. Hadi sasa hali ni mbaya, polisi walivamia na kutawanya wanafunzi, maeneo yote ya chakula yamefungwa na masomo hakuna.

Hii imekaa njema..wakimkamata Al-shabaab kuna AL-Qaaeda wapo....ha ha ha ha ha ha!!! Hii nchi haina maana tena sio mahala pa raha kushi..endelezeni mapambano mpaka watambue kuwa tumechoka na vibaraka wa CCM na sera zao...
 
Utoto unashida sana. Jamani tuwafunze hawa wenetu na wadogo zetu. Hawajui walifanyalo

Hujapona kichaa chako? Ila Mungu atakuhukumu kwa kukejeli haki ya elimu ya watoto wa masikini na wakulima. Na utakumbuka maneno haya siku ya hukumu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom