Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
sio kupuuza matatizo, madai yao hayana msingi.
Hakuna chuo nchi hii amabacho wanafunzi woote wamepewa mikiopo.
Sasa nao wakisema waandamane itakuwaje?
sio Tanzania tu. Nchi gani wamefanikiwa kuwapa wanafunzi wote wa vyuo vikuu mkopo.
Hawa bado ni watoto, pia ni wavivu wa kufikiria.