Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
Utoto unashida sana. Jamani tuwafunze hawa wenetu na wadogo zetu. Hawajui walifanyalo
saluti mkuu.
Sidhani hata kama wanaweza kutofautisha siasa na sheria. Kuna haja ya kuwapa somoa.
Utoto unashida sana. Jamani tuwafunze hawa wenetu na wadogo zetu. Hawajui walifanyalo
Kila tusi lililopo duniani linakufaa sana mzee.
Ni kiumbe gani ambaye ulisoma buru, tena enzi zile za kupewa hadi mkate na nyama, halafu leo wadogo zetu, watoto typical wa mkulima na mfanyakazi/mtumishi wa umma anayelipwa chini ya 300,000/= kwa mwezi wanaokosa melezi ya mwl. uliyoyapata, wanadai haki kama wewe ulivyoikwapua leo hii unawaona wahuni?
Kama iliwezekana enzi zenu wakati hata haujaanza kuchimba madini , kwani mwl. aliamua kuyahidhi kuliko kukaribisha wez wataochimba kwa kutuhasarisha, leo hii tunachimba madini kila kona ya nchi lakini raha ya kusoma uliyoipata wadaogo zako wasiipate, huoni kuwa wewe ni mbinafsi?
Mimi kwa mawazo yangu, nilitegemea nyie ambao mlisomeshwa vizuri, kuwa nyuma ya hawa watanzania wanaoambiwa hakuna bure itakuwa ni mikopo ,na mikopo yenyewe hawapewi, wanaishia kujiuza manzese na kwingineko, wewe ungewasaidia na kuwaokoa kwa kuwatetea serikalini
people 43 wametoka
saluti mkuu.
Sidhani hata kama wanaweza kutofautisha siasa na sheria. Kuna haja ya kuwapa somoa.
Utoto unashida sana. Jamani tuwafunze hawa wenetu na wadogo zetu. Hawajui walifanyalo
]Utoto unashida[/COLOR] sana. Jamani tuwafunze hawa wenetu na wadogo zetu. Hawajui walifanyalo
saluti mkuu.
Sidhani hata kama wanaweza kutofautisha siasa na sheria. Kuna haja ya kuwapa somoa.
Utoto unashida sana. Jamani tuwafunze hawa wenetu na wadogo zetu. Hawajui walifanyalo
Utoto unashida sana. Jamani tuwafunze hawa wenetu na wadogo zetu. Hawajui walifanyalo
Malaria Sugu ana akili, huyu hana akiliRejao atakuwa ndio Malaria sugu.
kuwa alshababu sio mpaka uue, unapokuwa tayari kufa kwa manufaa ya wengi, unaweza kujifananisha na alshababu, kwa hamasa ya huyo dogo, mapinduzi yanaendelea
Kwa umri wangu siwezi tena kwenda kusoma pale kozi za kugombania %! tayari nimeshapita huko.
Sidhani na wala sijawahi kusikia watu wanaofanya Master's degree na phd wakigoma. Wanaogoma wengi ni watoto, wana akili za kitoto.
Mawazo yao pale loan board kuna mahela yao na ni kitendo tu cha kwenda kuzichukua.
DAH NAMPONGEZA SN AL- SHABAB KM C UJASIRI WAKE HW MADOGO WANGEENDELEA KUNYEA DEBE! Rejao we unasubiri nini kudai haki yako ya kushirikishwa kwenye mswada?AL-SHABAAB WAMEFANIKISHA KUWATOA. Kesho masomo..lakini akifukuzwa mtu kunji linaendelea kama kawa hadi kieleweke.
Kesho kutwa mwingine atajiita mungiki,wiki ijayo mwingine atajiita alquaeda, mwezi ujao mwingine atajiita taleban, mwisho wa siku wewe na wenzako ndio mtajua kuwa hili wanalolifanya wanachuo ni ukubwa na utagundua kuwa wanaoimba nyimbo za miaka 50 ya uhuru ndio wanafanya utoto.Utoto unashida sana. Jamani tuwafunze hawa wenetu na wadogo zetu. Hawajui walifanyalo
sio kupuuza matatizo, madai yao hayana msingi.wewe pia tatizo mbona unapuuza matatizo yao?